Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Yes it is your birthday.....
Sala zetu zimesikilizwa. Hatimaye siku imewadia. Tunamshukuru Mungu. Tunakuombea maisha marefu, upate watoto wengi waizunguke meza yako wakati wa chakula cha mchana.
Wakati tukikuombea maisha marefu, tunakukaribisha kwenye tafrija ndogo ya kukupongeza. Mwongozo utakuwa hivi:
Ni bia na bia na bia.
Halafu bia tena
Halafu pombe kwa wingi
Kisha maakuli
Halafu na maakuli yetu muhimu
Then kuserebuka
Kisha...mmmmmwaah!
Ulinzi utakuwepo wa uhakika
Ila polisi hawaruhusiwi
HAPPY BIRTHDAY cacico
Popote mlipo Yummy, BADILI TABIA na Kongosho ........... Please come this way!!
Sala zetu zimesikilizwa. Hatimaye siku imewadia. Tunamshukuru Mungu. Tunakuombea maisha marefu, upate watoto wengi waizunguke meza yako wakati wa chakula cha mchana.
Wakati tukikuombea maisha marefu, tunakukaribisha kwenye tafrija ndogo ya kukupongeza. Mwongozo utakuwa hivi:
Ni bia na bia na bia.
Halafu bia tena
Halafu pombe kwa wingi
Kisha maakuli
Halafu na maakuli yetu muhimu
Then kuserebuka
Kisha...mmmmmwaah!
Ulinzi utakuwepo wa uhakika
Ila polisi hawaruhusiwi
HAPPY BIRTHDAY cacico
Popote mlipo Yummy, BADILI TABIA na Kongosho ........... Please come this way!!
Last edited by a moderator: