Teena unajua kbs alikuwa mpigaji na alikuwa anamnyanyasa mkewe. Ss wewe ndiyo umeingia kujidai smart huku unamtetea kwa mashoga zako wala hana tabu nakwambia. Siku yakikukuta unaulizwa unasema kawaida yake yule hata mke wake wa kwanza aliomdoka kwa kipigo tuu. Hukujua kwani km hizo ndiyo tabia zake jamani.Unajiambia huyu mwanaume alikuwa anaonekana mkorofi kwa sababu hajakutana na mimi 😁😁😁
Pia kuna yule anatembea na mume wa mtu, anamkoroga baba wa watu anaacha mkewe kisha anaolewa yeye halafu anategemea huyo bwana awe mwaminifu kwake tu...mtu kama huyo unaweza kumweka kwenye kundi la wenye akili timamu?Teena unajua kbs alikuwa mpigaji na alikuwa anamnyanyasa mkewe. Ss wewe ndiyo umeingia kujidai smart huku unamtetea kwa mashoga zako wala hana tabu nakwambia. Siku yakikukuta unaulizwa unasema kawaida yake yule hata mke wake wa kwanza aliomdoka kwa kipigo tuu. Hukujua kwani km hizo ndiyo tabia zake jamani.
Umtoe mwenzako Mungu anakuangalia tuu. Teena wengine wanawajibu shombo eti siunajua uliponitoa lakini huwezi kuwa nami peke yako teh teh teh.Pia kuna yule anatembea na mume wa mtu, anamkoroga baba wa watu anaacha mkewe kisha anaolewa yeye halafu anategemea huyo bwana awe mwaminifu kwake tu...mtu kama huyo unaweza kumweka kwenye kundi la wenye akili timamu?
Hata mara mbili tu inaleta ukakasi, mwaka kesho pia mwishoni atakuwa anaoa mke wa 5 tuombe uzimaKatika pitpita zangu mitandaoni, nimekutana na hii habari ya Mark wa Mark Angel Comedy (kama humjui potezea point yangu sio hiyo).
Wanaijeria hasa wanawake wanamnanga kwelikweli hata mimi nimeona ni kweli kuna jambo haliko sawa, ndani ya miaka 8 ameoa mara nne?? Swali kwa wanawake unaweza kuolewa na mtu aliyetaliki mara tatu?
View attachment 3600788
Wivu tuu 😂Bitches dying for fame hakuna lolote hapo! Mke wa nne mwenyewe kakaa kama mganga!
over my dead pussy 😀Wivu tuu 😂
Endelea kuibana hy pussy hutak raia waione, ikose pumzi kife 😎over my dead pussy 😀
naiona mwenyewe! vp ushatoka mjengoni? 😅Endelea kuibana hy pussy hutak raia waione, ikose pumzi kife 😎
Kesho namalizia kupiga domo then nije hapo Kwako Tabata unitembeze, Naskia Dar usiku n kama mchana 😎naiona mwenyewe! vp ushatoka mjengoni? 😅
hongera nasubiri utupe story kule utumishi! nani alikwambia dar kuna usiku? kwanza hakuna giza! 😅Kesho namalizia kupiga domo then nije hapo Kwako Tabata unitembeze, Naskia Dar usiku n kama mchana 😎
Kuna dogo alikuja kijijini kwetu kwenye msiba na babu yake, Ndo tukaanza kumuuliza mambo ya daslamu, Ndo akasema hvy 😎hongera nasubiri utupe story kule utumishi! nani alikwambia dar kuna usiku? kwanza hakuna giza! 😅
Hahaaaaa na huku hatuvai nguo kijana, when u go to rome...Kuna dogo alikuja kijijini kwetu kwenye msiba na babu yake, Ndo tukaanza kumuuliza mambo ya daslamu, Ndo akasema hvy 😎
Naskia saa 24 jua lipo ndo mana kuna joto sana 🔥
Aisee kabla sijaleft earth itabidi nije nijionee
Eh kumbe n mwendo wa kuona vikojoleo na vijambio vya wenzenu tuu, ah hy n tabia mbaya, mm siji tena huko daslamu bora niendelee kukimbizana na ngedere tuu huku kijijini kwetuHahaaaaa na huku hatuvai nguo kijana, when u go to rome...
Njoo, niletee na ngedere mmoja nimpike soup! 😁Eh kumbe n mwendo wa kuona vikojoleo na vijambio vya wenzenu tuu, ah hy n tabia mbaya, mm siji tena huko daslamu bora niendelee kukimbizana na ngedere tuu huku kijijini kwetu