Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 12,999
- 25,927
Sijui huwa mnatafuta kugundua kitu gani, wanaume!🙌
Japo mkali kazidi, ila mbona Haji Manara kama anamfuata kwa mbali.
Dunia ina siri, ukute ndagu! 😁
Sijui huwa mnatafuta kugundua kitu gani, wanaume!🙌
Au anatafuta nyota anakuta hazieleweki!😁Japo mkali kazidi, ila mbona Haji Manara kama anamfuata kwa mbali.
Dunia ina siri, ukute ndagu! 😁
Anamuongelea mfalme Sulemani ila haujui jinsi ya kuiweka! hao wake 700 anazo nguvu za kuwaweka au ndio kilopolopo tu! 🙄
kuwamiliki na kutembeza dose ni vitu viwili tofauti!My dear sister, usiamini sana stori hizo!
Mtu anakuwaje na wanawake 700, hebu tuwe seriously! 😁
😂😂😂😂🤦🏻♀️The only reason I want to try witchcraft, is to be sending bees to the parliament.
kuwamiliki na kutembeza dose ni vitu viwili tofauti!
sema watatu napo kasheshe ila wanaume! mmoja tu anatosha!Watatu tuu unachapiwa! 😊
hapo mpaka mbishane sana ndio akulewe! 😀😁😁 Nimemuelewa tatizo langu lipo hapo kwenye nabii
Na wewe unaona kabisa hilo linawezekana? Kati ya zamani na sasa ni lini ambapo wanawake wapo willing kushea mume?Dk.Year alikua nao watatu na wote walikua wanalala kitandani kimoja kama zamwamwa
Biblia imeshatabiri 7 kwa mume mmoja na soon tutafika tunakoenda
Wengine si ajabu hata sura alikuwa hawafahamu
Nan mbovu ni me ama ke?Tatizo litakuwa kwenye shoo
Angeongea hili mwanaume mngesema dharau😂😂Bitches dying for fame hakuna lolote hapo! Mke wa nne mwenyewe kakaa kama mganga!
Nizumgumzie huyo mwanaume! Tatizo lake ni kuwa anaoa wakati hajafikia wakati wa kuoa. Bado yupo katika phase ya onja onja (na ndoana yake ni kusema nitakuoa). Kila siku nasisitiza hapa JF kuwa oa au olewa kama wakati wako upo tayari. Mwanaume unapooa (kama umefikia wakati wenyewe) akili yako inafocus maisha ya baadaye, kujenga familia etc. Ndiyo maana huwa natofautisha ndoa na Ngono maana kama ni kula utakula kwa mama ntilie lakini chakula cha mkeo utajitahidi kukiona ndicho bora.Bitches dying for fame hakuna lolote hapo! Mke wa nne mwenyewe kakaa kama mganga!