Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 2,601
- 3,799
Huyo mtu atakuwa na shida, wote hao aliowaacha hawakumfaa?!
Sasa wewe muoaji kamuona malaika wewe unamuona mganga kweli 😂 😂 😂 😂Bitches dying for fame hakuna lolote hapo! Mke wa nne mwenyewe kakaa kama mganga!
🤣🤣🤣Wanazengo wanadai 2020 hakuoa kwa sababu ya COVID 🤣🤣
Ndio ajitundike hiyo mishanga kama mganga mwishowe ajinyonge!😁Sasa wewe muoaji kamuona malaika wewe unamuona mganga kweli 😂 😂 😂 😂
Mumewe kumsifia wewe shida Yako Iko wapi?Ndio ajitundike hiyo mishanga kama mganga mwishowe ajinyonge!😁
Kwani Manara ameoa wanawake wangapi hadi sasa?Katika pitpita zangu mitandaoni, nimekutana na hii habari ya Mark wa Mark Angel Comedy (kama humjui potezea point yangu sio hiyo).
Wanaijeria hasa wanawake wanamnanga kwelikweli hata mimi nimeona ni kweli kuna jambo haliko sawa, ndani ya miaka 8 ameoa mara nne?? Swali kwa wanawake unaweza kuolewa na mtu aliyetaliki mara tatu?
View attachment 3600788
Hamna shidaKatika pitpita zangu mitandaoni, nimekutana na hii habari ya Mark wa Mark Angel Comedy (kama humjui potezea point yangu sio hiyo).
Wanaijeria hasa wanawake wanamnanga kwelikweli hata mimi nimeona ni kweli kuna jambo haliko sawa, ndani ya miaka 8 ameoa mara nne?? Swali kwa wanawake unaweza kuolewa na mtu aliyetaliki mara tatu?
View attachment 3600788
Vina muda basi 2028 anaoa tena ptuu!🚮Mumewe kumsifia wewe shida Yako Iko wapi?
Bitches dying for fame hakuna lolote hapo! Mke wa nne mwenyewe kakaa kama mganga!
Sasa su makubaliano ya wanaoana jamani mbona kama unampelekea moto!Vina muda basi 2028 anaoa tena ptuu!🚮
Sijui huwa mnatafuta kugundua kitu gani, wanaume!🙌This is definitely true. Ni sawa na ishu ya 2Baba/2Face Idibia. He has eight children with three different women.
Nashangaa tu si mchezo aisee!Sasa su makubaliano ya wanaoana jamani mbona kama unampelekea moto!
Kama wewe siyo mkristo pita kushoto.Nabii gani alioa 700 acha kukurupuka
Anamuongelea mfalme Sulemani ila hajui jinsi ya kuiweka! hao wake 700 anazo nguvu za kuwaweka au ndio kilopolopo tu! 🙄Nabii gani alioa 700 acha kukurupuka