Hapa shida inaweza kuwa nini?

Hapa shida inaweza kuwa nini?

Hata Mara kumi watu wanao..... kama unajiweza kifedha hakuna kinachoshindikana ! Tena unapata vibinti kabisa , sio mishangazi mashavu yameshashuka
 
Nizumgumzie huyo mwanaume! Tatizo lake ni kuwa anaoa wakati hajafikia wakati wa kuoa. Bado yupo katika phase ya onja onja (na ndoana yake ni kusema nitakuoa). Kila siku nasisitiza hapa JF kuwa oa au olewa kama wakati wako upo tayari. Mwanaume unapooa (kama umefikia wakati wenyewe) akili yako inafocus maisha ya baadaye, kujenga familia etc. Ndiyo maana huwa natofautisha ndoa na Ngono maana kama ni kula utakula kwa mama ntilie lakini chakula cha mkeo utajitahidi kukiona ndicho bora.
Hee hivi unadhani ni mdogo huyo? Inawezekana yupo 40+ maana ameanza mimi nimeanza kumuona kwenye comedy miaka ya 2013 kama sikosei
 
Hee hivi unadhani ni mdogo huyo? Inawezekana yupo 40+ maana ameanza mimi nimeanza kumuona kwenye comedy miaka ya 2013 kama sikosei
Tatizo ni kuoanisha umri wa mtu na utayari wa kuingia katika ndoa. Unaweza kuwa na miaka 50 lakini una Tabia za kivulana na ukawa haupo tayari kufunga ndoa na kuishi na binti wa mtu.
 
Nizumgumzie huyo mwanaume! Tatizo lake ni kuwa anaoa wakati hajafikia wakati wa kuoa. Bado yupo katika phase ya onja onja (na ndoana yake ni kusema nitakuoa). Kila siku nasisitiza hapa JF kuwa oa au olewa kama wakati wako upo tayari. Mwanaume unapooa (kama umefikia wakati wenyewe) akili yako inafocus maisha ya baadaye, kujenga familia etc. Ndiyo maana huwa natofautisha ndoa na Ngono maana kama ni kula utakula kwa mama ntilie lakini chakula cha mkeo utajitahidi kukiona ndicho bora.
Wengine wapo kwenye phase ya malipizi mkuu, mtu anatamani wanawake fulani, wanamkataa, kila akijipima hafit, ndio kama kina wozu kuja kuambata na kina wema..basi akijipata anatamani aonje kila mmoja hana muda wa kuvumilia mtu kwa sababu anatakwa na kila aina ya sampuli.. ulimbukeni nao,saingine maagano siunajua hawa wachekeshaji nao si haba🌬️
 
Wengine wapo kwenye phase ya malipizi mkuu, mtu anatamani wanawake fulani, wanamkataa, kila akijipima hafit, ndio kama kina wozu kuja kuambata na kina wema..basi akijipata anatamani aonje kila mmoja hana muda wa kuvumilia mtu kwa sababu anatakwa na kila aina ya sampuli.. ulimbukeni nao,saingine maagano siunajua hawa wachekeshaji nao si haba🌬️
Nalo neno
 
Katika pitpita zangu mitandaoni, nimekutana na hii habari ya Mark wa Mark Angel Comedy (kama humjui potezea point yangu sio hiyo).

Wanaijeria hasa wanawake wanamnanga kwelikweli hata mimi nimeona ni kweli kuna jambo haliko sawa, ndani ya miaka 8 ameoa mara nne?? Swali kwa wanawake unaweza kuolewa na mtu aliyetaliki mara tatu?
View attachment 3600788
Consistency ya jamaa kwenye species anazotaka ni topnotch.
Slim, fair in complexion, average height, bubbly personality.
 
Tatizo ni kuoanisha umri wa mtu na utayari wa kuingia katika ndoa. Unaweza kuwa na miaka 50 lakini una Tabia za kivulana na ukawa haupo tayari kufunga ndoa na kuishi na binti wa mtu.
Hapo umenena mkuu, nimekuelewa
 
Wengine wapo kwenye phase ya malipizi mkuu, mtu anatamani wanawake fulani, wanamkataa, kila akijipima hafit, ndio kama kina wozu kuja kuambata na kina wema..basi akijipata anatamani aonje kila mmoja hana muda wa kuvumilia mtu kwa sababu anatakwa na kila aina ya sampuli.. ulimbukeni nao,saingine maagano siunajua hawa wachekeshaji nao si haba🌬️
Hivi wale akina Emmanuela walisema ni watoto wa ndugu zake eeh? Kama sio hivyo ipo siku atawaoa pia
 
Back
Top Bottom