Hapa Mheshimiwa alikuwa anataka kusemaje?

Hapa Mheshimiwa alikuwa anataka kusemaje?

Hata mwalimu alikuwa anachanganya kizanaki.
 
Jamani tunazidi kumchanganya mh rais plz tumuache. Hivi mnajua yumo humu JF
 
kwani english mbona unaitukuza sana mkuu si lugha ya watu wengine hata putin hajui english hata raisi wa uchina ila maisha yanaenda. kwani imeandikwa wapii kuwa lazima ajue english.nyie ndo mnaolipia watoto mamilioni naseri ili wajue english mana ndo kipimo cha usomi kwako.mwishowe anatoka anajua englisha kama mwingereza ila kichwani empty. tukuza ligha yako na sio ya wanaume wenzako.
Basi kama hajuwi aongee lugha anayoijua kwani yeye si alikua anangea na familia yake famìlia ambayo wanaelewa kiswahili kuliko kiingilishi kulikua na haja gani kuongea lugha asiyoijuwa yeye wala wanafamilia
 
Ulimi tu huo,sioni issue hapo.Ila huyu jamaa anachapa kazi hatari
 
kwani english mbona unaitukuza sana mkuu si lugha ya watu wengine hata putin hajui english hata raisi wa uchina ila maisha yanaenda. kwani imeandikwa wapii kuwa lazima ajue english.nyie ndo mnaolipia watoto mamilioni naseri ili wajue english mana ndo kipimo cha usomi kwako.mwishowe anatoka anajua englisha kama mwingereza ila kichwani empty. tukuza ligha yako na sio ya wanaume wenzako.
Hapo tusidanganyane...hizo nchi ulizotaja zimeendelea sana kias zaweza kujitegemea.TUKUBALI TUKATANE TANZANIA TUNAHITAJI ZAIDI ENGLISH TENA KWA LAZIMA.sisi bado wachanga sana na english is our official language,so ajitahidi tu kuhudhulia kwa RAS SIMBA
 
kusoma kemia na sio english language.mtu anasoma anakuwa daktari na anatibu mgonjwa ila englisha hajui kuongea mana alipokuwa shuleni intention yake haikuwa kujifunza english tena spoken ila to acquire knowledge. mpe kazi ya kikemia afu ndo uhoji kama akishindwa kudeliver.

Je kiswahili ana kifahamu?
 
vile mtu anavyo zungumza na akili yake ndivyo inavyo kuwa.
muheshimwa sio kwamba
alishindwa kuzungumza neno front page. ila ile tabia yake ya kukulupuka ilimgharimu.
 
kwani english mbona unaitukuza sana mkuu si lugha ya watu wengine hata putin hajui english hata raisi wa uchina ila maisha yanaenda. kwani imeandikwa wapii kuwa lazima ajue english.nyie ndo mnaolipia watoto mamilioni naseri ili wajue english mana ndo kipimo cha usomi kwako.mwishowe anatoka anajua englisha kama mwingereza ila kichwani empty. tukuza ligha yako na sio ya wanaume wenzako.
Kamlazimisha nani aongee lugha asiyoiweza?
 
Alafu sasa hii ndio hoja sasa ya kuitoa ccm madarakani?

Tunashida kubwa sana watanzania
 
"Fent Phone" is the new "front page". That being said, huyu old geezer lacks poise and composure for a president when speaking in public. Often times he gets too excited and furious and can't choose his words.
 
Inaweza baada ya kusema haya meza kuu walipiga makofi kumshangilia.
 
Back
Top Bottom