Sasa kwa nini anaing'ang'ania lugha ya watu kama ni mtupu kiasi hicho?kwani english mbona unaitukuza sana mkuu si lugha ya watu wengine hata putin hajui english hata raisi wa uchina ila maisha yanaenda. kwani imeandikwa wapii kuwa lazima ajue english.nyie ndo mnaolipia watoto mamilioni naseri ili wajue english mana ndo kipimo cha usomi kwako.mwishowe anatoka anajua englisha kama mwingereza ila kichwani empty. tukuza ligha yako na sio ya wanaume wenzako.
kwani english mbona unaitukuza sana mkuu si lugha ya watu wengine hata putin hajui english hata raisi wa uchina ila maisha yanaenda. kwani imeandikwa wapii kuwa lazima ajue english.nyie ndo mnaolipia watoto mamilioni naseri ili wajue english mana ndo kipimo cha usomi kwako.mwishowe anatoka anajua englisha kama mwingereza ila kichwani empty. tukuza ligha yako na sio ya wanaume wenzako.
Frontphone watch it
Hivi mbona anacheka wakati amechapia.
Eti frent font ndio nini?
pale alipokuwa anasoma phd ni ya nini kwanza unatakiwa ulijue hilo. sio kuwa ni ya english tena spokenSasa mbona alitaka kuongea lugha ya malikia ndio amechapia,hio PhD alipata ya Kiswahili.
hiyo frent font maana yake ni nini, nisaidieni???Frent font