Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,589
- 23,951
Huu mzimu Mwalimu aliuzika, Kikwete kaufukua and sooner than later we may have to come to terms with the threat of Wasukuma, Wahaya, Wachaga, Wanyakyusa and the like....Kikwete hakujua hili kosa alilolifanya...damage ya huu utawala itatusumbua miaka mingi kuirekebisha