Hamis Kingwangala amjibu Lowassa

Hamis Kingwangala amjibu Lowassa

Kigwa you have my support to bring down that greedy
 
Ni bora niishi somalia kuliko kuishi chini ya utawala wa fisadi EL.Never kama vipi tugawane nchi mapema.Huu upumbavu mkubwa.
 
Ni bora niishi somalia kuliko kuishi chini ya utawala wa fisadi EL.Never kama vipi tugawane nchi mapema.Huu upumbavu mkubwa.

Anza kufanya maandalizi ya kuhamia Somalia maana mwaka huu huna jinsi
 
ataisoma LOWASSA akiwa rais.......yaan ccm tunachukiana kuliko sjui kwanini?
adui ya ccm ni wana ccm wenyewe na sio UKAWA

na bado zimwi la ufisadi linakutafuneni. nani msafi katika ccm aje kuokoa jahazi....?! Tukutane October :car:
 
Mkuu hii ndio demokrasia,

Kila mtu anakuwa na haki ya kusema afikiricho, na sio lazima wote tuwaze kwa kufanana kama ninyi![/QUO
EL pona yake ni kusema kweli bila kificho. Asiogope. Aseme juu ya Rich mond. Nani alihusika, mgao nani alipokea
 
Hamis ni mtoto mdogo sana...pili ANAJUA KABISA KUWA HAFAI KUWA HATA MBUNGE...kwani alichaguliwa kwa kura ndogo sana ndani ya CCM...Sbb CCM na JK walimpitisha Hamis, kinyume na taratibu na kumfuta Bashe aliyeshinda sana kura za kuwania Ubunge 2010, ambaye Bashe ni Team Lowassa, leo Hamis ni nani aweze kumjibu Lowassa, sbb anajua Bashe ni adui yake, na asingekuwa Mbunge kama sio JK, sasa anaona moto unakuja kwa kasi ya hatari, anaanza kufa kabla ya wakati....!!
Hamis, kaa mkao wa kula, kati ya vijana wa CCM tutakao wasahau ni ww... kwanza hufai, hukustahili kuwa Mbunge...leo unaanza kuropoka, utajutia mbele ya safari...soon..!!
 
dogo Kigwangala yeye apambane na watoto wenzie kina Nyalandu haya maji marefu atazama buree
 
Masikini HK!, kumbe hajui hata "what is the name of the game?!.

P.


Huyo dogo HK mpuuzi Sana hata huo ubunge kaupata kwa kubebwa tu nilimshangaa alivyokurupukia kwenye urais wakati hata kura za maoni tu jimboni kwake alishindwa kufurukuta....
 
Hamis ni mtoto mdogo sana...pili ANAJUA KABISA KUWA HAFAI KUWA HATA MBUNGE...kwani alichaguliwa kwa kura ndogo sana ndani ya CCM...Sbb CCM na JK walimpitisha Hamis, kinyume na taratibu na kumfuta Bashe aliyeshinda sana kura za kuwania Ubunge 2010, ambaye Bashe ni Team Lowassa, leo Hamis ni nani aweze kumjibu Lowassa, sbb anajua Bashe ni adui yake, na asingekuwa Mbunge kama sio JK, sasa anaona moto unakuja kwa kasi ya hatari, anaanza kufa kabla ya wakati....!!
Hamis, kaa mkao wa kula, kati ya vijana wa CCM tutakao wasahau ni ww... kwanza hufai, hukustahili kuwa Mbunge...leo unaanza kuropoka, utajutia mbele ya safari...soon..!!

Kawatisheni wapuuzi kama hawa wa hapa jf.hivi mnafikiri kila mtu anategemea pesa ya Lowasa kuishi? Hamisi ni Dr.by professional hajasoma fine and perfoming art kama lowasa hizi ni level mbili tofauti ndio maana Dr.kaamua kumchana Live..
 
dogo Kigwangala yeye apambane na watoto wenzie kina Nyalandu haya maji marefu atazama buree

Unamwita Dr.Hamisi dogo eenh?lowasa anajuwa yeye na ukoo wake wote ukiondoa pesa.hawana akili Kama Dr.Hk nyie endeleeni kupiga domo hapa mkapange foleni kwa lowasa mlipwe.
 
Na hapa ndipo ilipo tofauti kati ya Lowassa na kundi la wapuuzi wanaofikiri kuwa nao wanaweza kuwa marais wa nchi hii...wakati Lowassa ana agenda zake anazozingumzia,wapuuzi hao wao hukaa yakisikiliza atasema nini ili yapate cha kusema kesho yake,kwa hiyo hapa Kigwangala hakuwa na la kusema hadi aliposikia Lowassa amesema,January Makamba hana la kusema lakini kesho atapanua kinywa chake kusema baada ya kusikia Lowassa amesema,Membe hivo hivo,Sitta hivohivo,Mwandosya hivohivo,Sumaye hivohivo...yaani utafikiri matoto madogo,hawana la kusema hadi wasikie Lowassa kasema khaaaa,ASBSOLUTE STUPID!
 
Kawatisheni wapuuzi kama hawa wa hapa jf.hivi mnafikiri kila mtu anategemea pesa ya Lowasa kuishi? Hamisi ni Dr.by professional hajasoma fine and perfoming art kama lowasa hizi ni level mbili tofauti ndio maana Dr.kaamua kumchana Live..

Wewe nawe ni mpuuzi tu,if that is interesting...wewe ndo mbuzi kabisa mwenye mkia mfupi,kwani wewe uko facebook hapa hadi uite watu wapuuzi,si na wewe uko JF au?nyau kabisa weee
 
Back
Top Bottom