Hamisi needs to chose his battles carefully...
But EL won't be the right partner in his battle!
Hamisi needs to chose his battles carefully...
Kigwangala hana ubavu wa kupambana na mzee Lowassa,na vijana kumbukeni nchi haipewi vijana hata siku moja.nyie mtakuwa wabunge tu.
Kidumu chama cha mapinduzi!!
Masikini HK!, kumbe hajui hata "what is the name of the game?!.
P.
Anatafuta kiki tu, sidhani kama huruma ya Mama Salma itasaidia wakati baba Riz mwenyewe amefyata mkia. Aungurumapo Lowassa mcheza nani huko ugambani?
But EL won't be the right partner in his battle!
Fisadi Lowasa mbona unavuruga chama chetu.Si utulie kama Uraisi Nyerere alikukataa!Tumekataa tamaa chama chetu kimetekwa na majizi na wagonjwa EL unaongea unatokwa na udenda
I didnt talk about choosing the partner, i said he need to chose his battle careful; FYI, battle na partnership haviendani
Hutaki kukubali kuwa kama ukiona huwezi kupambana nao ungana nao! Panua mtazamo!
Pasco
Kubalini tu...game aliyoibua leo mzee wenu itam hunt big times kaka.
Eddo hana mwamvuli wala kivuli cha kumpunguzia makali ya joto la aina yoyote ya ufisadi uliofanywa na Serikali ya CCM au chama hicho. Hakuna.
Tunasubiri kuona kesho maswali gani hasa aliulizwa na amejibu nini!
Lowassa hawezi kujinasua katika mess up yoyote ya Serikali ya Kikwete au chama chake. He is just at loss...like any other CCM galas.
Mkuu Tumaini Makene, hapa najikumbusha tuu, ila hapo kwenye bold, kufuatia 'game changer', then hiyo he is, sasa ni he was just a loss by then akiwa CCM, now he is a jewel!.I like your guts, hopes na wishfulthinking, hope to see you there baada ya October 25!, ila hala hala, nimeisha anjifu ya kuwafutia watu machozi na kuwabembeleza kwa vilio, kwa sababu 2015 ni Lowassa na ni CCM Tena!, huu ndio ukweli mchungu kumeza!.
Pasco
Mkuu,Mkuu, hapa najikumbusha tuu, ila hapo kwenye bold, kufuatia 'game changer', then hiyo he is, sasa ni he was just a loss by then akiwa CCM, now he is a jewel!.
Pasco
Mkuu Tumaini Makene, hapa najikumbusha tuu, ila hapo kwenye bold, kufuatia 'game changer', then hiyo he is, sasa ni he was just a loss by then akiwa CCM, now he is a jewel!.
Ila hata mimi nimeptia kuwa, 2015 ni Lowassa, ila sio CCM bali Chadema!, badala ya vilio ni vicheko!.
Pasco
Pasco