Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
dogo khamis, weka maneno ya akiba angalia usije kuwa kama mashishanga.
ikulu siyo pango la mafisadi .
Vote for ukawa.
dogo khamis, weka maneno ya akiba angalia usije kuwa kama mashishanga.
unless hujui uko jukwaa gani na tunazungumzia niniHamisi Kigwangala
Hamisi Mwinjuma
Hamisi Kiiza
Hamisi Kagasheki
Bangiiiiii kigwagwala unajiua kisiasa au unabishana na mungu
Hamisi needs to chose his battles carefully...
Kazi imeanza na EL najua hutashinda hii vita kwani si ndogo unavyodhani na jina lako litakatwa bora ungekaa kimya!! Huwa nasema kila siku huna washauri wazuri wa campaign!!
View attachment 254564
kigwangwala wewe ni kinda katika medani za siasa za ccm. hujulikani ccm na ni mgeni katika fitina za kiccm. sasa ujue ndio unapotea kabisa katika ccm. mimi niko ccm muda mrefu nazijua fitna za ccm. umekwisha kigangwala nakuonea huruma
sitta alikuwa na tamaa ya urais na alijua LOWASSA kuendelea kuwa waziri mkuu ni kikwazo kwake
katika sakata ya escrow PINDA hakujiuzuli kwa kuwa makinda hana nia ya urais
ni sitta aliyelifunga MJADALA WA DOWANS bungeni huku leo akilialia kwamba hamna utekelezaji wa maazimio ya bunge.
MWAKYEMBE alimficha muhusika hasa kwa kashfa ya RICHMOND na sasa atutajie........
Sio hamisi anaitwa saidi bagaile..hamisi ni jina la mtuctu aliyetumia vyeti vyake kusomea
PascoMasikini HK!, kumbe hajui hata "what is the name of the game?!.
P.
Pasco
Kubalini tu...game aliyoibua leo mzee wenu itam hunt big times kaka.
Eddo hana mwamvuli wala kivuli cha kumpunguzia makali ya joto la aina yoyote ya ufisadi uliofanywa na Serikali ya CCM au chama hicho. Hakuna.
Tunasubiri kuona kesho maswali gani hasa aliulizwa na amejibu nini!
Lowassa hawezi kujinasua katika mess up yoyote ya Serikali ya Kikwete au chama chake. He is just at loss...like any other CCM galas.
Na wewe! Fedha za mafisadi zinatembea UVCCM kote. Kinachoongelewa hapa ni mustakabali wa taifa letu si mtu na baba yake
sitta alikuwa na tamaa ya urais na alijua LOWASSA kuendelea kuwa waziri mkuu ni kikwazo kwake
katika sakata ya escrow PINDA hakujiuzuli kwa kuwa makinda hana nia ya urais
ni sitta aliyelifunga MJADALA WA DOWANS bungeni huku leo akilialia kwamba hamna utekelezaji wa maazimio ya bunge.
MWAKYEMBE alimficha muhusika hasa kwa kashfa ya RICHMOND na sasa atutajie........
Dogo Khamis, weka maneno ya akiba angalia usije kuwa kama Mashishanga.
Mkurugenzi wa mawasiliano magogoni kuanzia october uuuuupooooo????umepotea sanaMasikini HK!, kumbe hajui hata "what is the name of the game?!.
P.