sitta alikuwa na tamaa ya urais na alijua LOWASSA kuendelea kuwa waziri mkuu ni kikwazo kwakeKweli mamvi kiboko sasa kama hahusiki nini kilimfanya ajiudhulu ndio cinema imeanza mpka ifikapo mwez wa 7 wa2 watakua I.C.U
katika sakata ya escrow PINDA hakujiuzuli kwa kuwa makinda hana nia ya urais
ni sitta aliyelifunga MJADALA WA DOWANS bungeni huku leo akilialia kwamba hamna utekelezaji wa maazimio ya bunge.
MWAKYEMBE alimficha muhusika hasa kwa kashfa ya RICHMOND na sasa atutajie........