Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,295
CCM ni chama ambacho kina makundi yanayokinzana kuliko chama chochote cha siasa Tanzania...
Huu upumbavu unaofanyika huko chamani ni moja kati ya vikwazo vya maendeleo ya nchi yetu...
Viongozi hufanyiana hujuma wao kwa wao kwa maslahi yao binafsi...
Mwisho wa siku wanaoumia ni Watanzania wote...
Huu upumbavu unaofanyika huko chamani ni moja kati ya vikwazo vya maendeleo ya nchi yetu...
Viongozi hufanyiana hujuma wao kwa wao kwa maslahi yao binafsi...
Mwisho wa siku wanaoumia ni Watanzania wote...