Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,020
Nina hamu ya kusikia kauli ya baba riz toka mdomoni kwake kuhusu sakata hili.
Kazi imeanza na EL najua hutashinda hii vita kwani si ndogo unavyodhani na jina lako litakatwa bora ungekaa kimya!! Huwa nasema kila siku huna washauri wazuri wa campaign!!
View attachment 254564
![]()
Kazi imeanza na EL najua hutashinda hii vita kwani si ndogo unavyodhani na jina lako litakatwa bora ungekaa kimya!! Huwa nasema kila siku huna washauri wazuri wa campaign!!
View attachment 254564
![]()
Wewe Kingwangwala hujui unafiki wa Kikwete?
Wewe Kingwangwala hujui unafiki wa Kikwete?