Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Kwani huko uganda wamekataa kuchanjwa?Habari wadau..!
Taarifa zinasema hali ya uviko 19 nchini Uganda imezidi kushika kasi kwa siku wanareport wagonjwa 500.
Shule zimeanza kufungwa tena vifo vimeongezeka maradufu katika hii phase ya pili ya Corona nchini Uganda.
Kwa niaba ya watanzania wazalendo naomba mheshimiwa rais Samia Hassan harakishe mchakato wa upatikanaji wa chanjo kabla ya hiyo phase 3 pia ni bora tukaanza kutoa repoti ya mwenendo wa uviko 19 maana taadhali zinapuuziwa sana kwa ss.
Na Kama wamechanjwa kwa nini hali iwe tete?