Hakuna single mother anaweza faulu huu mtihani, ndio maana wanaonekana miyeyusho

I humbly decline this offer 😅😅😅. But on a serious note...the road that leads to deception is very blur...it always starts with random convoz, random laughters, hitting each other in excitement, giving/getting a ride daily and having heartfelt conversations. Hizi kwa mwanamke alieolewa ni detrimental kwa sabbu tunatekwa navyo kirahisi..why??emotions zinakuwa involved and we are emotional entities.

Ndo maana ni vile dunia inampaisha mwanamke, but the rate of women cheating I feel its very high kuliko wanaume...kwa sabbu dunia imetupaint kivngne ndo maana halipigiwi kelele. Leo itengenezwe dawa yoyote afu iwekwe, kwamba ambae hajawah kucheat aruke hapa ataishi ama la anakufa..utaona tu!!! Many of us get fond of people especially if they make us happy. Sisemei wenye kazi tu ama wasomi, lakin hata mama wa nyumban, muuza genge akiwa a supporting pillar tu kihisia kwa huyu mwanamke, habar imeisha.

Tunatakiwa tustruggle kutoentertain unusual connecting with third parties when we are in a family. Being in the presence of someone consistently huwaga inaleta connection ndo maana hata ukute mtu ana strong standing gani, kuna always a moment of vulnerability itakujaga tu...so for me nimejifunza kuavoid unnecessary things that could make me lose my guard. Nimejifunza I shouldnt trust myself and my will for am a weak creature..I rely on the Holy Spirit ili yeye ndo awe confidence yangu. Sio wote waliocheat hawakuwa na msimamo, some walikuwa nayo na bado wakaanguka. Maybe you need it...yes you...🙂🙂
Umeongea point let ask you out of topic inawezekana kwa mwanamke kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye ni rafiki wa karibu sana?
 
Single mother wa mtoto wa kike hana hata shida huyo ni sawa na hajazaa unaishi nae poa kabisa ila wa mtoto wa kiume kuishi nae ni muujiza ni 1/100
Kuna ukoo mmoja kule upareni huruhusiwi kuoa single mother mwenye mtoto wa kiume asilani. Sababu wanazijua wao
 
Laivu,unaweza kukuta kanacheza huko weee ila muda wa shoo paap haka hapa kanazinda...Kuna kamoja hako usiku nikilala na mama yake yan kanaliaa kichizi kanataka kalale katikati yangu na mama yake...yan ni kana komaaa kabisa imagine katoto ka miaka miwili
Huyu mama naye pamoja na wewe hamumtendei huyo mtoto haki. Ila huyo mwanamke ni noma, yaani mtoto ana miaka 2 keshatafuta bwana mwingine wa kumuongezea usingle mother.
 
Umeongea point let ask you out of topic inawezekana kwa mwanamke kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye ni rafiki wa karibu sana?
Na mwanamke huyu yuko katika ndoa ama nje??kama ni nje inawezekana kabisa ILA kama kutakuwa na a border isiovukwa. Though bado kuna 10% she could eventually fall into feelings zone...lakini kama yuko ndani ya something serious...aisee haiwezekani. Wazee wetu walikua na too little social networks and yet walivalue familia....kuliko kitu chochote. Mwanamke ni hisia, akizipata sehemu nyingine mbali na sehemu husika anatekekeka kirahisi sana. Ila kama unajiweza be my guest....jamvi nakutandikia ulikalie yakheee.....
 
Single mothers wote nawapenda, mpo poa mna mapenzi ya kweli. Shida ni pale unapo date na single mama ambaye bado ana upendo na ex wake, mtoto atakuwa sababu ya mawasiliano na ex wake
 
I humbly decline this offer 😅😅😅. But on a serious note...the road that leads to deception is very blur...it always starts with random convoz, random laughters, hitting each other in excitement, giving/getting a ride daily and having heartfelt conversations. Hizi kwa mwanamke alieolewa ni detrimental kwa sabbu tunatekwa navyo kirahisi..why??emotions zinakuwa involved and we are emotional entities.

Ndo maana ni vile dunia inampaisha mwanamke, but the rate of women cheating I feel its very high kuliko wanaume...kwa sabbu dunia imetupaint kivngne ndo maana halipigiwi kelele. Leo itengenezwe dawa yoyote afu iwekwe, kwamba ambae hajawah kucheat aruke hapa ataishi ama la anakufa..utaona tu!!! Many of us get fond of people especially if they make us happy. Sisemei wenye kazi tu ama wasomi, lakin hata mama wa nyumban, muuza genge akiwa a supporting pillar tu kihisia kwa huyu mwanamke, habar imeisha.

Tunatakiwa tustruggle kutoentertain unusual connecting with third parties when we are in a family. Being in the presence of someone consistently huwaga inaleta connection ndo maana hata ukute mtu ana strong standing gani, kuna always a moment of vulnerability itakujaga tu...so for me nimejifunza kuavoid unnecessary things that could make me lose my guard. Nimejifunza I shouldnt trust myself and my will for am a weak creature..I rely on the Holy Spirit ili yeye ndo awe confidence yangu. Sio wote waliocheat hawakuwa na msimamo, some walikuwa nayo na bado wakaanguka. Maybe you need it...yes you...🙂🙂

Vijana someni hapa. Mjifunze.
Niliwaambia mimi mnasema nilijuaje. Mwanamke kufunguka.
 
Single maza wengi ni wagonjwa wa akili. Kikubwa mwanamke ili asiwe mgonjwa wa akili ni kuhakikisha hazai nje ya ndoa iliyofungwa kihalali hata iwaje

* Wanaume tuendelee kuwakataa singo maza kadiri tuwezavyo*
 
Mtihani mkubwa kwa single mothers ni kubalansi upendo kati ya mtoto wake na mpenzi wake.

Akimpenda sana mtoto wake atahakikisha mtoto anapata love ya baba yake mzazi hivyo atakuwa na mawasiliano very active na baba wa mtoto wake ili kuwakeka karibu.

Akimpenda sana bwana wake atazuia mawasiliano ya yeye na ex wake ambae ni baba wa mtoto wake maana hakuna mwanaume anapenda kuona mke au girlfriend wake anakuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na baba wa mtoto wake hii connection wote tunajua ni hatari.

Huu ni mtihani ambao single mothers unawasumbua sana wanajikuta kama wapo kifungoni kwenye magereza mawili tofauti.

Kama binti unataka amani kwenye ndoa yako hapo baadae jitahid usizae nje ya ndoa.
single mothers lazima waliwe
 
Na mwanamke huyu yuko katika ndoa ama nje??kama ni nje inawezekana kabisa ILA kama kutakuwa na a border isiovukwa. Though bado kuna 10% she could eventually fall into feelings zone...lakini kama yuko ndani ya something serious...aisee haiwezekani. Wazee wetu walikua na too little social networks and yet walivalue familia....kuliko kitu chochote. Mwanamke ni hisia, akizipata sehemu nyingine mbali na sehemu husika anatekekeka kirahisi sana. Ila kama unajiweza be my guest....jamvi nakutandikia ulikalie yakheee.....
Nimependa hiyo line ya mwisho
 
Mapenzi ya Mama kwa Mtoto na Mama kwa Mume au Mpenzi ni Sawa ? Je utakuwa kweli sawa kichwani kujaribu au kukasirika kwamba Penzi ambalo lingekuja kwako linakwenda kwa mtoto wake ? Na je likienda kula linapungua huku ?

Kwa ushauri tu inabidi uwe mature na mwenye uhakika na Busara kuingia katika mahusiano kama hayo...., Sababu hapo kuna maisha ya mtoto pia na sio yenu tu wawili (kwahio utakuwa shetani na petty kama utakuwa kikwazo cha muunganiko wa huyu mama na mwanae hivyo kama unasita acha kuingia usije kuharibu maisha ya watu)
 
Nafahamu, nilishawahi kuishi na singo maza,yan ukimkuta mwamba anaishi na singo maza na wamedumu kwa hata miezi mitatu!!!...huyo jamaa mpe heshima yake..hao watu wa kuitwa singo maza wana changamoto aisee...usipokuwa na ujasiri unachemka mapema tu
Ndaaah hii inanihusu aisee, mm ndan 5 chali akaondoka aiseee
 
Single mother wa mtoto wa kike hana hata shida huyo ni sawa na hajazaa unaishi nae poa kabisa ila wa mtoto wa kiume kuishi nae ni muujiza ni 1/100
Hebu nipe maelezo yakinifu hapo make nami yameshamikumba alikuwa na wa kiume, miez 5 tu chali
 
Mapenzi ya Mama kwa Mtoto na Mama kwa Mume au Mpenzi ni Sawa ? Je utakuwa kweli sawa kichwani kujaribu au kukasirika kwamba Penzi ambalo lingekuja kwako linakwenda kwa mtoto wake ? Na je likienda kula linapungua huku ?

Kwa ushauri tu inabidi uwe mature na mwenye uhakika na Busara kuingia katika mahusiano kama hayo...., Sababu hapo kuna maisha ya mtoto pia na sio yenu tu wawili (kwahio utakuwa shetani na petty kama utakuwa kikwazo cha muunganiko wa huyu mama na mwanae hivyo kama unasita acha kuingia usije kuharibu maisha ya watu)
Haya unayosema anatakiwa ayafikirie baba wa mtoto.... mtoto wa single mother sio ndugu yako ni mshikaji tu so kama mama inabidi awe busy na ex sababu ya mtoto ikiwezekana aende moja kwa moja
 
Back
Top Bottom