Hakuna dini inayofundisha ukweli hata moja duniani

Hakuna dini inayofundisha ukweli hata moja duniani

Dunia ingekuwa flat upinde usingekuwa na maana ya upinde, upo upinde kwa sababu dunia sio flat.
Dunia ipo flat ila firmament ndio ipo round juu ndio inayosababisha upinde
 
🤣🤣🤣🤣 akili zako sasa
downloadfile~3.jpg
 
Sijakuelewa bro.
Hebu fafanua zaid.


Wewe ni mkuu kuliko dini yaani dini ipo chini yako (i.e wewe ulianza then dini ikafuata badae Sana )

Kwa lugha nyepesi dini haitakiwi kukuathiri wewe bali wewe ndio uithiri dini, wewe hutakiwi kuifuata dini bali dini ndiyo ikufuate wewe kwasababu kati yako na dini wewe ndiye Mkuu
 
Mashoga ndio mnazungumza hakuna dini na hakuna Mungu basi mwendelee kufirana,na kulawitiana mwisho wa siku mtaona matokeo yake,hata mbuzi anafahamu kuwa Kuna Mungu
 
Mkuu kama wewe ni mkristo soma agano la kale limejaa maelekezo ya mungu akiwaambia wana wa israel wawapige, kuwaua na kuwachukua mateka wanawake wa mataifa mengine.
Agano la kale liliwahusu watu wa zamani. Kabla ya Yesu.
 
Waambie wachukue helicopter au ndege waende beyond alafu ndo wstoe majibu --- hawatofanya jambo hilo, ndo napobishanaga na hateeb10
Hahh kwani tufe halina mwisho wake?,. hata object yenye umbo la tufe ina ukomo wake,. sasa hata wewe unaweza kuchukua Helicopter na ukaenda beyond tufe ili uthibitishe 100% kwamba dunia ni tufe na inazunguka.


Ukweli ni kwamba mpaka sasa wewe binafsi huna uthibitisho wa umbo la dunia,. bali umekubali kile ambacho umefundishwa even though hata waliokufundisha hivyo hawajakupa uthibitisho,.. uthibitisho ulio wazi ungekuwepo hata mimi ningebadilisha mtazamo wangu,. sikubaliani na nadharia zilizopo cause sioni uthibitisho kwenye uhalisia pia picha & video zinazotumika kuonyesha kwamba dunia ni tufe linalozunguka ni animated (Hakuna raw video inayothibitisha yale ambayo watu tanafundishwa kwenye taasisi tofauti tofauti za elimu.
 
Hahh kwani tufe halina mwisho wake?,. hata object yenye umbo la tufe ina ukomo wake,. sasa hata wewe unaweza kuchukua Helicopter na ukaenda beyond tufe ili uthibitishe 100% kwamba dunia ni tufe na inazunguka.


Ukweli ni kwamba mpaka sasa wewe binafsi huna uthibitisho wa umbo la dunia,. bali umekubali kile ambacho umefundishwa even though hata waliokufundisha hivyo hawajakupa uthibitisho,.. uthibitisho ulio wazi ungekuwepo hata mimi ningebadilisha mtazamo wangu,. sikubaliani na nadharia zilizopo cause sioni uthibitisho kwenye uhalisia pia picha & video zinazotumika kuonyesha kwamba dunia ni tufe linalozunguka ni animated (Hakuna raw video inayothibitisha yale ambayo watu tanafundishwa kwenye taasisi tofauti tofauti za elimu.
Kaka tufe liwe mwisho ?

Hapa namna gani mkuu
 
Back
Top Bottom