Hakuna dini inayofundisha ukweli hata moja duniani

Hakuna dini inayofundisha ukweli hata moja duniani

kwann mkuu
Unajua wanaziita conspiracy theory kuficha ukweli uliopo 95% ni za kweli
95% ni nyingi, tuseme 60% angalau. Kuna nyingine hazina hata maana, kama eti tunaishi kwenye simulation au dunia ni flat hizi za uwongo kabisa
 
Uchumi upo angel tatu

-Production
-Consumption
-To transfer


Marekani wao wanazalisha wanachohitaji ndani na zaida wanauza .

Marekani wanatumia wanatumia walichonacho .

Na wanarithisha uchumi kwa kizazi kinachokuja next generation.


Ikiwa familia yenu utazingatia Production , consumption na transfer of wealth basi kila atajayezaliwa atakuja kuanzia juu au katikati na sio kuanza zero.


Sasa hayo mambo Kama Tanzania Rais tu akija kutoka madarakani anaacha hazina hakuna kitu
Hayo yote uliyoyazungumzia ni Biashara na ujasilia mali

Hivi vitu vyote vinashare kitu kinaitwa risk taking and motivation

Ili u take risk unahitaji motivation na stress management

External motivation ipopengi na stress management ni dini na imani zingine

Unahitaji external tool ya kukusaidia kumanage stress na hiyo tool ni dini
 
Kwann unasema biblia haina uhusiano wote wote na mungu
Umesha sema hapo juu"NA MAKANISA NI HOSPITAL ZA WATENDA MAOVU" Unataka kujua ya Biblia ili yakusaidie nini sasa endelea kuamini dini yako ya Biblia hayata kusaidi kaa hivyo hivyo na upumbavu wako sio wewe wa kwanza kukashifu ila ukiristo na biblia upo karne na karne
 
Hayo yote uliyoyazungumzia ni Biashara na ujasilia mali

Hivi vitu vyote vinashare kitu kinaitwa risk taking and motivation

Ili u take risk unahitaji motivation na stress management

External motivation ipopengi na stress management ni dini na imani zingine
Okay
 
Bibilia na Quruan - hivi vitabu vimeandikwa na watu havina uhusiano na Mungu.
Hivi ni vitabu vya hadithi/simulizi. Hii ni kwasababu mambo mengi yaliyoandikwa humo hayana ushahidi wowote wa kihistoria wala kijiolojia.

Lakini, kama zilivyo hadithi nyingine, ukizisoma unaweza okota mawili matatu ya kujifunza.
 
95% ni nyingi, tuseme 60% angalau. Kuna nyingine hazina hata maana, kama eti tunaishi kwenye simulation au dunia ni flat hizi za uwongo kabisa
Mim naamini dunia ni flat hili hata baadhi ya ma pilot wanalisema
Hata biblia imeeleza mwanzo
 
Israel na Palestine hakuna dini? Mbona Kila siku watu wanauana?
Dini ndiyo imeleta machafuko zaidi hapa Duniani mkuu
Sasa mkuu pale pande zote kila mtu anakwambia unabii unatimia -- we hustuki😁
 
Umesha sema hapo juu"NA MAKANISA NI HOSPITAL ZA WATENDA MAOVU" Unataka kujua ya Biblia ili yakusaidie nini sasa endelea kuamini dini yako ya Biblia hayata kusaidi kaa hivyo hivyo na upumbavu wako sio wewe wa kwanza kukashifu ila ukiristo na biblia upo karne na karne
kuna utafouti wa dini, na nyumba za ibada na mungu . Dini ni mkusanyiko wa taratibu zilizowekwa ili zifatwe, Nyumba za ibada ni kwa ajili ya kujenga community watu wajuane unaweza ukasali na familia yako nyumbani
 
Kama andiko la kisomi hivi, lakini nani kaona au nani anayajua 'marejeleo' ya mwandishi kuanzia kwenye maana ya 'dini'?
Nawasilisha.
 
Umesha sema hapo juu"NA MAKANISA NI HOSPITAL ZA WATENDA MAOVU" Unataka kujua ya Biblia ili yakusaidie nini sasa endelea kuamini dini yako ya Biblia hayata kusaidi kaa hivyo hivyo na upumbavu wako sio wewe wa kwanza kukashifu ila ukiristo na biblia upo karne na karne
sikuzote akurupukaye bila kuhoji sababu ndiye mpumbavu
Kabla huja niita mpumbavu ungehoji kwanza kwann nimesema maneno hayo
Ngoja nikuache ukae na upumbavu wako ukiendelea kuamini makanisa ndio sehemu pekee ya kuabudu na kufanya maagano na mungu
 
sikuzote akurupukaye bila kuhoji sababu ndiye mpumbavu
Kabla huja niita mpumbavu ungehoji kwanza kwann nimesema maneno hayo
Ngoja nikuache ukae na upumbavu wako ukiendelea kuamini makanisa ndio sehemu pekee ya kuabudu na kufanya maagano na mungu
ushawahi kwenda kwenye uzi wa dunia duara na dunia tambarare, kama bado uje ukatembelee huko kuna mwezako anaitwa hateeb 😄
 
Back
Top Bottom