Hakuna dini inayofundisha ukweli hata moja duniani

Hakuna dini inayofundisha ukweli hata moja duniani

The universe is real and God is real baasi, hivi vingine vimekuwa rooted hata hizi za asili ni rooted pia
 
MUNGU pekee ndiye awezaye kuleta ustaarabu kwa watu na Sio dini, ukiona MTU kastaarabika ujue ana hofu ya MUNGU.......i.e amekwenda mbele zaidi na kuipita dini na kukutana na muumba wake


Hakuna mtu wa dini ambaye ni mstaraabu hayupo
Ukutane na mlokole sasa. Anajiona ana hati miliki ya funguo za mbingu
 
Nini maana dini - Dini ni utamaduni wa eneo fulani.
Mkuu naomba nitofautiane na wewe kwenye hii definition ya dini

Dini ni utaratibu na mfumo uliopangiliwa ili utumike ktk kuabudu

Mfano mimi nikianzisha dini yangu nikaanzisha utaratibu wa waumini kila jumapili tutasali mlimani na kula mikate

Kisha jumatano tutapaka majivu ya bahati yatusaidie kwenye biashara zetu
Halafu kila muumini ataleta familia yake


Na hiyo dini nikaiita dini ya mlima wa mbingu


Ndio tafsiri ya dini

Hapo mlimani litakuwa kanisa


Dini sio lazima ifuate biblia au korowani za wazungu na waarabu


Hata hapa bariadi kuna vilinge na hii ni dini ya kimila


We share a common goal stress management, anxiety and ovetcoming fear plus motivation
 
Mkuu naomba nitofautiane na wewe kwenye hii definition ya dini

Dini ni utaratibu na mfumo uliopangiliwa ili utumike ktk kuabudu

Mfano mimi nikianzisha dini yangu nikaanzisha utaratibu wa waumini kila jumapili tutasali mlimani na kula mikate

Kisha jumatano tutapaka majivu ya bahati yatusaidie kwenye biashara zetu
Halafu kila muumini ataleta familia yake


Na hiyo dini nikaiita dini ya mlima wa mbingu


Ndio tafsiri ya dini

Hapo mlimani litakuwa kanisa


Dini sio lazima ifuate biblia au korowani za wazungu na waarabu


Hata hapa bariadi kuna vilinge na hii ni dini ya kimila


We share a common goal stress management, anxiety and ovetcoming fear plus motivation

Naona hujakinzana na mtoa mada.

Tamaduni ndio hayo uliyosema wewe.
Ni Utaratibu mzima wa jamii fulan kwenye baadhi ya mambo.
Pia inaweza kuwa ni mila au desturi.
Zote zinasave purpose hiyo hiyo.

Kwahiyo Dini ni Tamaduni ya jamii ya eneo husika.
 
Nini maana dini - Dini ni utamaduni wa eneo fulani.

Je dini zinafundisha ukweli , ?
Hakuna dini yoyote yenye mafundisho ya kweli. Ila ni hadithi , na kawaida ya hadithi waweza pata kitu cha kujifunza chanya au hasi.

Bibilia na Quruan - hivi vitabu vimeandikwa na watu havina uhusiano na Mungu.

Hii dunia Ina miaka 2000s ya kuhesabu Ila kiuhalisia hii dunia Ina miaka mingi inayozidi 2000s

Maarifa uliyonayo yapo ya aina tatu

-Kufundishwa
-mambo uliyoyapitia
-mambo waliopitia watu

Kwahiyo unaweza Ku -gain new experience in life kupitia mapito yako , au mapito ya watu au kujifunza.

Mvurugano uliopo hapa duniani ni kwamba watu wachache wajinga wameamua kuwaongoza watu wengi wajinga .


Ukiona watu wanabishana kuhusu dini fahamu hao watu ni wajinga na hawajitambui.


Kuwa MTU mwema na MTU safi haina uhusiano na dini.

Kule Bukoba Bibi zetu na Babu they never worship anywhere Ila walikuwa wakiomba Nature inawapa wanachohitaji .

So universe is real , God is real but not religions.

Ikiwa unaacha tamaduni zako unafata tamaduni za watu lazima utadanganywa kuhusu miujiza ya kupokea Gari na Gas.


Maisha ya hapa duniani yamekuwa overrated watu wanajichosha Sana kuamini miujiza ya uongo sijui kwenda kwa waganga at the end Kama utaishi Sana ni 70-100 yrs so ni ujinga to chase nothing.
Sawa mkuu
 
Nini maana dini - Dini ni utamaduni wa eneo fulani.

Je dini zinafundisha ukweli , ?
Hakuna dini yoyote yenye mafundisho ya kweli. Ila ni hadithi , na kawaida ya hadithi waweza pata kitu cha kujifunza chanya au hasi.

Bibilia na Quruan - hivi vitabu vimeandikwa na watu havina uhusiano na Mungu.

Hii dunia Ina miaka 2000s ya kuhesabu Ila kiuhalisia hii dunia Ina miaka mingi inayozidi 2000s

Maarifa uliyonayo yapo ya aina tatu

-Kufundishwa
-mambo uliyoyapitia
-mambo waliopitia watu

Kwahiyo unaweza Ku -gain new experience in life kupitia mapito yako , au mapito ya watu au kujifunza.

Mvurugano uliopo hapa duniani ni kwamba watu wachache wajinga wameamua kuwaongoza watu wengi wajinga .


Ukiona watu wanabishana kuhusu dini fahamu hao watu ni wajinga na hawajitambui.


Kuwa MTU mwema na MTU safi haina uhusiano na dini.

Kule Bukoba Bibi zetu na Babu they never worship anywhere Ila walikuwa wakiomba Nature inawapa wanachohitaji .

So universe is real , God is real but not religions.

Ikiwa unaacha tamaduni zako unafata tamaduni za watu lazima utadanganywa kuhusu miujiza ya kupokea Gari na Gas.


Maisha ya hapa duniani yamekuwa overrated watu wanajichosha Sana kuamini miujiza ya uongo sijui kwenda kwa waganga at the end Kama utaishi Sana ni 70-100 yrs so ni ujinga to chase nothing.
baada ya kapuya kupuyanga kujaza gesi ndio mnaleta usanii wenu hapa.wewe nidini gani?
 
hivi marcy inaonekana kila ukikaa huwa unawaza kila kitu kwa nini kipo hivi au sio, 😅😅
🤣🤣🤣 hebu katafute chanzo cha ule upinde wa mvua ukipata utakuja kukubaliana na mim dunia ni flat na firmament ipo
 
Na sayansi hiyo aliifanya binadamu kama wew ambaye anaweza kupindisha mambo kuuficha ukweli asilia
Ni kama wanavyosema sisi waafrika tulikuwa sokwe unakubaliana na hilo babu wew ulikuwa sokwe?
Sayansi haifanywi na binadamu, its there yani, kinachofanyika ni kufanya theories kuwa practical/reality.

Sasa, prove kwamba dunia ni tambarare, scientifically.
 
🤣🤣🤣 hebu katafute chanzo cha ule upinde wa mvua ukipata utakuja kukubaliana na mim dunia ni flat na firmament ipo
Dunia ingekuwa flat upinde usingekuwa na maana ya upinde, upo upinde kwa sababu dunia sio flat.
 
Back
Top Bottom