Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 10,896
- 15,465
Nikukaa pembeni tuHyo ligi sitaingilia hata iweje kaka 😁😁
Hapo anayeendana naye labda ni the celebrity tu 😅😅
Nikukaa pembeni tuHyo ligi sitaingilia hata iweje kaka 😁😁
Hapo anayeendana naye labda ni the celebrity tu 😅😅
hakikaDINI NI SACCOS TAKATIFU.
100%Hayo yote uliyoyazungumzia ni Biashara na ujasilia mali
Hivi vitu vyote vinashare kitu kinaitwa risk taking and motivation
Ili u take risk unahitaji motivation na stress management
External motivation ipopengi na stress management ni dini na imani zingine
Unahitaji external tool ya kukusaidia kumanage stress na hiyo tool ni dini
😀😀😀😀 Hilo ni takwa la nature nasio diniDuh, sijaelewa mkuu. Mfano wameandika tusizini na mke wa mtu. Kwa hiyo sio kweli tupite nae?
Naam siimetungiwa sera 😁😁DINI NI SACCOS TAKATIFU.
🤣🤣Ila ipo dini inafundisha kujaza mtungi wa gas kwa kupuliza na mdomo
Machafuko mnaleta nyie wanadamu kwa kushindwa kuelewa maana halisi ya hizo DINI.
Niletee kifungu kinachoeleza taifa fulani likampge fulani.
😀😀😀😁Sasa mkuu pale pande zote kila mtu anakwambia unabii unatimia -- we hustuki😁
Sure lo.