Hakuna dini inayofundisha ukweli hata moja duniani

Hakuna dini inayofundisha ukweli hata moja duniani

Screenshot_20250810-105150.png
 
Nini maana dini - Dini ni utamaduni wa eneo fulani.

Je dini zinafundisha ukweli , ?
Hakuna dini yoyote yenye mafundisho ya kweli. Ila ni hadithi , na kawaida ya hadithi waweza pata kitu cha kujifunza chanya au hasi.

Bibilia na Quruan - hivi vitabu vimeandikwa na watu havina uhusiano na Mungu.

Hii dunia Ina miaka 2000s ya kuhesabu Ila kiuhalisia hii dunia Ina miaka mingi inayozidi 2000s

Maarifa uliyonayo yapo ya aina tatu

-Kufundishwa
-mambo uliyoyapitia
-mambo waliopitia watu

Kwahiyo unaweza Ku -gain new experience in life kupitia mapito yako , au mapito ya watu au kujifunza.

Mvurugano uliopo hapa duniani ni kwamba watu wachache wajinga wameamua kuwaongoza watu wengi wajinga .


Ukiona watu wanabishana kuhusu dini fahamu hao watu ni wajinga na hawajitambui.


Kuwa MTU mwema na MTU safi haina uhusiano na dini.

Kule Bukoba Bibi zetu na Babu they never worship anywhere Ila walikuwa wakiomba Nature inawapa wanachohitaji .

So universe is real , God is real and God exist but religious is scam.

Ikiwa unaacha tamaduni zako unafata tamaduni za watu lazima utadanganywa kuhusu miujiza ya kupokea Gari na Gas.


Maisha ya hapa duniani yamekuwa overrated watu wanajichosha Sana kuamini miujiza ya uongo sijui kwenda kwa waganga at the end Kama utaishi Sana ni 70-100 so ni ujinga to chase nothing.

Kuna tofauti kubwa kati ya MUNGU na dini, dini ndiyo ilimpinga na kumkataa na kumuhukumu na kumsulubisha KRISTO


Cha kushangaza watu wengi wa dunia hi wanafuata dini hawana mpango na muumba wao
 
Mnasema dunia ina umri zaidi ya 2ml yrs lakini human existence haitoi proof.
 
Hahaha mfano chukua mpira weka hapo kitu kinaweza kukaa kweli
Hata mim bado hujanishawishi
Size ya mpira(dunia) inakujibu straight bila maswali mengi. It's a huge thing, kiasi kwamba huwezi kunotice its oval shape kwa macho au kuangalia tu, ila sayansi inaprove kwamba ni duara.
 
Kuhusu Dini kuwa za ukweli au uongo watajua wenyewe..

Kikubwa nashukuru Dini zimeleta ustaarabu na uoga kidogo kwa watu vinginevyo dunia ingekuwa uwanja wa vita.

Bika shaka ww umeongea Ukweli zaidi.

As long as Dini imeweka ustaarabu kwenye Hii Dunia. Bas Hilo ndilo la Muhimu.

Mungu awepo as asiwepo halijalishi sana . Kinachojalisha ni namna /miongozo ya jinsi tunavyoishi.

Na mm ndio Iman yangu.
 
Bika shaka ww umeongea Ukweli zaidi.

As long as Dini imeweka ustaarabu kwenye Hii Dunia. Bas Hilo ndilo la Muhimu.

Mungu awepo as asiwepo halijalishi sana . Kinachojalisha ni namna /miongozo ya jinsi tunavyoishi.

Na mm ndio Iman yangu.


MUNGU pekee ndiye awezaye kuleta ustaarabu kwa watu na Sio dini, ukiona MTU kastaarabika ujue ana hofu ya MUNGU.......i.e amekwenda mbele zaidi na kuipita dini na kukutana na muumba wake


Hakuna mtu wa dini ambaye ni mstaraabu hayupo
 
Size ya mpira(dunia) inakujibu straight bila maswali mengi. It's a huge thing, kiasi kwamba huwezi kunotice its oval shape kwa macho au kuangalia tu, ila sayansi inaprove kwamba ni duara.
Na sayansi hiyo aliifanya binadamu kama wew ambaye anaweza kupindisha mambo kuuficha ukweli asilia
Ni kama wanavyosema sisi waafrika tulikuwa sokwe unakubaliana na hilo babu wew ulikuwa sokwe?
 
Mke wa MTU au Mme wa MTU ni jambo ambalo alikuhitaji kufundishwa na MTU kuhusu hilo .

Ikiwa wanyama they know how to handle it we binadamu unahitaji kuambiwa na dini.

Issue is about conscience ukifanya jambo baya utalisikia lina sound ndani yako na hiyo haina uhusiano na dini.
Ueah.. mambo ya free will.
 
Back
Top Bottom