Hata father Kimaro wa Kanisa Katoliki Changanyikeni Dar, alikuwa anajifanya kuwa karibu na watoto, kilitoke nadhani unakumbuka vizuri; alimlawiti mtoto wa watu hadi akafumaniwa. Haikutokea bahati mbaya, alijifanya kipenzi cha watoto, wazazi wakamwamini kwa kuwa ni padri lakini mwisho wa wale watoto ukawa mbaya.
Nilimuuliza huyo bibi yako kuwa kujifanya ni nini hajajibu hadi sasa
Hebu nijibu wewe basi maana naona kama hujielewi hivi
Ukishanijibu hilo uniambie umejuaje kuwa mimi najifanya na umetumia ipimo gani kujua hilo
Kuna aliyeomba utayari wako?
kuona jitu la watu linajipendekeza kwa watoto wangu
Kujipendekeza ni kufanya nini?
Kwanini unadhani kuna anaejipendekeza?
Ni mkipimo gani kinatumika kujua huyu anajipendekeza na huyu sio?
Unajua nini kuhusiana na kupenda?
Kupenda ni nini?
Huo ujinga akajifanyie kwa mahayawani.
Ujinga ni nini?
Ni upi?
Kwanini ni ujinga?
Umetumia kipimo gani kujua huu ni ujinga na huu sio?
Hayawani ni kitu gani?
KWANINI UNADHANI NDIO WANAOSTAHILI KUFANYIWA HUO UNAOUITA UJINGA?
Hata huyo Eiyer anajua anachokifanya hakikubaliki
Umejuaje hili?
Tafadhali tushirikishe hapa na kama unabashiri hapa sio kwa waganga wa kienyeji
ndiyo maana anatafuta watoto wa wamama wasioishi na waume zao,
Nimesema wapi kuwa natafuta?
Au unaota ndoto?
mbali na hapo angeshakula kichapo kitambooo!
Ndio maana nimekuambia kuwa hapa sio kwa waganga wa kienyeji
Una assume mambo ambayo hata huyajui
Na inaonekana hata mada hujaisoma
Hebu soma tena mada huenda haya mambo yako ya hovyo ukaja kuyafuta
Ingekuwa na yeye ana watoto, then watoto wake wangekuwa marafiki na huyo mtoto wa jirani hiyo caring kwa mtoto wa jirani ingeleta maana kwa sababu angekuwa anamjumuisha na watoto wake katika fun mbalimbali.
cc: Eiyer
Unasema ingeleta maana
"Maana" ni nini?
Inawezekana unazungumza mambo bila hata kujua ni kitu gani!