Absolutely right Faizafoxy! Watu wa aina ya huyu jamaa wanatumia vijizawadi kutrick watoto wadogo na hatimaye kuwaabuse au kutrick mama zao kupitia watoto wao. Kwa ujumla sitaki kuona watu wa namna karibu na watoto wangu hata kidogo. Mtu mzima kuendekeza ujinga na watoto wa watu tena wa kike. Why?
faiza hujamuelewa story yake unaanza kumshambulia na pre judgements zako hapa...soma story yake umuelewe then ndo utoe comments
Kwanza ninakawaida ya kuwapenda watoto sana bila kujali kama ni wa jinsia gani,kwangu nawakubali wote sana na wamekuwa marafiki wangu wa ukweli sana kwakuwa hawajui kupenda kwa masharti na wakikupenda wanakupenda ki-ukweli hasa
Sasa uswahilini kwetu kuna katoto kamoja ka miaka mi-4 hivi,jinsia yake ni ya kike huwa napenda sana siku nikiwa nyumbani au nikiwahi kurudi huwa nakaa nako na kupiga story nako sana na hunifanya mastress yangu ya kutafuta hela kuisha kama sio kupungua
Katoto haka kananipenda sana nami nakapenda sana kwani ni karafiki kangu sana,tatizo linakuja kwa mama yake,anadai kuwa inafika wakati wa usiku kanalia kaletwe kwangu nae anadai anakuwa hataki
Lakini tatizo kubwa zaidi ni kwamba huyo mama yake anadai eti napendeza sana kuwa baba yake huyo mtoto na anadai kwakuwa mtoto wake ananipenda nae ananipenda na ameanzisha visa wakati mwingine hukaleta hako ka rafiki kangu usiku wa saa 4 hadi 5 usiku akidai eti kanalia akalete nami huwa nakapokea na kukaa nako hadi kanapolala kisha nampa mama yake na kisha kuondoka
Mama wa haka karafiki kangu alikuwa ameolewa lakini ameachika kwa mumewe kwa sababu yule jamaa hakuwa ametulia
Sasa hizi vurugu zimekuwa zinazidi sana hadi naanza kukereka kwasababu sina mpango kabisa na huyo dada kwani ana mahusiano na jamaa mmoja hapa mtaani na nafahamiana nae sana
Naanza kuwaza kukakatia line kale ka rafiki kangu lakini roho inaniuma sana
Nimejaribu kumwambia aache tabia hiyo lakini naona kama nampigia mbuzi gitaa
Sijaamua kuchukua maamuzi yoyote hadi sasa lakini naona kama huyu dada ananiharibia urafiki wangu na huyu mtoto na hili sio halali na halikubaliki kabisaaa
Yaani hapa nina hasira sana na huyu mama wa rafiki yangu huyu na leo nikirudi nitakuwa nimeshapata dawa yake
Enyi akina dada hebu mtuache na hawa marafiki zetu na msituvurugie urafiki wetu bana!
Ina maana bado hujagundua kuwa kutuambia tuna fall in love kwa vitu vidogo ni kutudhalilisha?
Hebu tutake radhi kabla sijanuna
watu kama nyie hata mkiona mtoto wa mwenzio anakosea huwezi kumrekebisha, wewe ni mtu hatari sana katika maisha ya uswahilini ambapo mtoto anakumbukwa kwao kama hayupo wakati wa kulala.Hiyo tabia yako ya kutembea na jojo na pipi filimbi mfukoni kwa ajili ya kutrick wake za watu kupitia watoto wao inatakutokea puani. Ati anakupenda!! Mtoto mdogo anakupendaje hivihivi kama siyo wewe kuintertain vijizawadi vidogo au kwenda nako maduka ya karibu na kumnunulia vijiazam?!. Ki ukweli ni tabia mbaya sana kuwa karibu na watoto wa watu, kama unapenda watoto kwanini usimzae wakwako? Una bahati huyo mama yake anaishi bila mume vinginevyo ungeshakatwa mapanga. Grow up man, acha utoto na watoto wa majirani!
FaizaFoxy ulikuwa unatafuta mtu mwenye matatizo yale uliyoya copy na ku paste huyu hapa
Msaidie tafadhali!
kuwapenda watoto au hata wakubwa hakulazimishi kuwe na ukaribu pia. punguza ukaribu usio wa lazma kwa hako katoto vile ushaona mazingira hayaruhusu. hivi wewe hauna mtoto eeh?
Hapo ndiyo umuhimu wa baba unaonekana huyo mtoto amekufanay kuwa kama baba yake baada ya kuona baba yake mzazi hamjali na ww umekuwa faraja ya mtoto sasa tatzo liko kwa mama anataka apate pa kupulia baada ya kuachana na mumewe na kwakuwa hauna mzuka naye kabisa mwambie ukweli tu kwamba hauko tayari kuwa naye ww rafiki yako ni mtot basii na usimruhusu kuingia kwako eti kwa kisingizio cha kumleta mtoto maana ipo siku atakuvulia nguo na uzalendo ukakushinda maana muda mwingine hawa viumbe wakiamua kufanya yao huwa hawashindwi kwa kuwa wanaua udhaifu wa mwanaume uko wapi,endelea tu urafik na mtot ila kuwa makini tu!
Tatizo unapenda sana kutakwa radhi
Sasa hebu sema kudhalilishwa kunakujaje mtu anaposema mna fall kwa vitu vidogo?[/QUOTE]
Kuombwa radhi kuna raha yake ujue!
Hapo kwa bold Anatusingizia,nami sipendi kusingiziwa sasa!
sasa baba paroko we endelea kuwa karibu na hako katoto yakishakufika uje kanisani ulie mazabauni. lolSina mtoto
Lakini hiyo hainizuii kuwa na urafiki na watoto bana
Hakuna ukaribu usiokuwa wa lazima na watoto
Watoto ni rafiki zangu!
acheni hizo, watoto wanahitaji kupendwa na jamii nzima, kuoneshwa kuwa wanajaliwa. dhamira ya mtu anaijua mwenyewe, si kila aliekaribu na mtoto ana nia mbaya. msisababishe watu wakawatenga watoto wenu kwa hizi kasumba mlizo nazo.
acheni hizo, watoto wanahitaji kupendwa na jamii nzima, kuoneshwa kuwa wanajaliwa. dhamira ya mtu anaijua mwenyewe, si kila aliekaribu na mtoto ana nia mbaya. msisababishe watu wakawatenga watoto wenu kwa hizi kasumba mlizo nazo.
Kijana una matatizo makubwa sana. Nenda kwa wataalam wakusaidie. Usijikwepeshe. Andiko lako linaonesha una kila dalili ya kuwa una matatizo ya kisaikolojia.
"hunifanya mastress yangu ya kutafuta hela kuisha kama sio kupungua" khaa! huna hata haya?
Hakuna mtu asiyependa watoto lakini kuna mipaka ya urafiki wa mtoto na mtu mzima, kumbuka hilo.
Watoto zangu mimi niliwatenga sana na watu wanaojidai kupenda sana watoto, na hiyo ni kwa mafundisho kabisa ya namna ya kulea watoto vyema. Sioni hoja wala haja ya jirani kujifanya anampenda sana mwanangu kuliko mimi niliyemzaa.
Umekula nini leo?
Well,Hakuna mtu asiyependa watoto lakini kuna mipaka ya urafiki wa mtoto na mtu mzima, kumbuka hilo.
Mtu anajidai vipi?Watoto zangu mimi niliwatenga sana na watu wanaojidai kupenda sana watoto,
Mafundisho gani?na hiyo ni kwa mafundisho kabisa ya namna ya kulea watoto vyema.
Bado hujasema kujifanya ni nini lakini bado unaendelea tu kulirudia hilo nenoSioni hoja wala haja ya jirani kujifanya anampenda sana mwanangu kuliko mimi niliyemzaa.