Haka karafiki kangu kataniletea matatizo soon....!!!!!

Haka karafiki kangu kataniletea matatizo soon....!!!!!

Hahahahaaa!
Leave it!
...
Unajua nini kaka, UKARIMU unatucost sana sometimes!
Mi nna mifano miwili hai:
1 kuna mama mtu mzima tu (50s yrs) anapenda utoto sana, sasa mimi nilikua namsifia kiuongo uongo! "umependedha" "leo umeua" nk. Aaagh! Si aanze habari za kunitaka! Mpaka tajuuuta kumtania!
...
2 Chizi!
Nilimchukulia kama mtu mwenye akili timamu, sikumuonesha dharau au kumfanya ajiskie hana akili! Mmmh! Lol! Si aanze kutangazia watu eti mi mchumba wake!
...
Hiyo case yako ningekua mimi, ningeendelea na hako katoto vizuri tu but ningepunguza kwa kiasi kikubwa! Na nisingekubali aniletee usiku!
...
Sisi me ni dhaifu but hawa wenzetu wametuzidi!
Wanafall in love kwa vitu vidogo sana!


Halafu wewe!
Haya tutake radhi upesi!!!!
 
Vijana wa JF nawaasa sana na nnawaomba mjifanyie ka research chenu kadogo nyinyi wenyewe kwa watu kama huyu anaependa kucheza na watoto, watu kama hawa ni hatari sana kwa jamii.

Tulioishi na kulea watoto zetu nje ya Tanzania tunaelewa haya mambo kwani hupata darsa mara kwa mara za "child abusers" na "pedophiles". Najuwa kliniki za Tanzania huhusisha afya ya mama na mtoto lakini kliniki za nje huhusisha pia namna ya kuhami mtoto na majanga ya ma "pedophiles".

Huyu mtu anaejiita "Eiyer" kwa maandiko yake, ameonesha "symptoms" zote za hayo matatizo na nimewawekea link mjisomee wenyewe.
 
Mshirikishe rafiki yako. Mwambie mama yako ananisumbua so sitakua nacheza na wewe. Rafiki yako atamfikishia ujumbe na mama ataelewa. Watoto nawaheshimu sana. Huwa nawaita watu wadogo.
Mwenyewe utashangaa.

Mtoto wa miaka mi 4 kweli nimuambie haya mabo atanielewa?
 
Huo urafiki na katoto sio salama tena,ukimtolea nje mama anaweza akamtumia mtoto wake kukudhalilisha.
Anza sasa kupunguza ukaribu na mtoto,wala hakataumia kwani watoto ni rahisi kusahau na kuhamisha mapenzi.
Kama vipi mlete mama parokiani kwa huduma......lol

Nami nimeanza kufikiria hili
Maana naona kama inakuwa tabu tu


Huyu nikimleta parokiani atavuruga parokia ....lol!!!
 
Tafadhali nipatie namba ya simu ya huyo mama nikutane nae nimpe darsa la watu kama wewe.

Nakushauri uonane na wataalam wa saikolojia, unahitaji msaada wa haraka sana. Kabla hujapoteza maisha ya watoto na yako mwenyewe.
Umekula nini leo?
 
Jana kuna hadithi ya Mzizimkavu niliisoma humu, kuna kakipengele jamaa aliambiwa ana nyota ya fisi, yeye hawezi kuwa na kitu kipya akaambiwa hata mke aliyekuwa nae aliachwa ndio yeye akaoa. Naanza kupata hisia si ajabu hata wew unaweza kuwa na hiyo nyota.

Unawezaje kuhusisha ulichokisema hapa na nilichokisema mimi?
 
Vijana wa JF nawaasa sana na nnawaomba mjifanyie ka research chenu kadogo nyinyi wenyewe kwa watu kama huyu anaependa kucheza na watoto, watu kama hawa ni hatari sana kwa jamii.

Tulioishina kulea watoto zetu nje ya Tanzania tunaelewa haya mambo kwani hupata darsa mara kwa mara za "child abusers" na "pedophiles". Najuwa kliniki za Tanzania huhusisha afya ya mama na mtoto lakini kliniki za nje huhusisha pia namna ya kuhami mtoto na majanga ya ma "pedophiles".

Huyu mtu anaejiita "Eiyer" kwa maandiko yake, ameonesha "symptoms" zote za hayo matatizo na nimewawekea link mjisomee wenyewe.

:becky::becky::becky::becky:
 
Nasikitika sana kukueleza ukweli.

Hayo maelezo yako yote yanaashiria una "symptoms" za u "pedophilia". Dah, mtu kama wewe ni hatari sana kwa jamii na kwa watoto;

Soma zaidi:

6. The always available babysitter
Often a single male with no friends, this sort of paedophile will place himself in a situation where he becomes the trusted babysitter, often for the children of several, usually single parent families.

The mothers regard him as a godsend, who will safely mind their children while they go to work, or go out with their friends.
In many cases the single parent is unable to provide the support the children need, leaving the scene wide open for the child molester to play "uncle" and provide care, attention and "fun".
Many paedophiles seek out mothers of single-parent families for the purpose of victimising their children, which may have been the case with loner Michael Guider, who regularly babysat a group of children and while their mothers were absent, drugged the girls and photographed them naked.
He was most fond of Samantha Knight, the pretty Bondi nine-year-old who went missing in 1986.
Guider eventually pleaded guilty to her manslaughter, claiming he had accidentally overdosed her. Samantha's body has never been found.

Source: Could you spot a paedophile? Here are the warning signs | News.com.au


Natamani nimuone huyo mama nimpe darsa la watu kama wewe.

faiza hujamuelewa story yake unaanza kumshambulia na pre judgements zako hapa...soma story yake umuelewe then ndo utoe comments
 
Last edited by a moderator:
hahahaha!! ndio maaana wajifariji kwa watoto! ila kuwa tu makini, usije uziwa kesi baba paroko.

Niko makini sana sista wangu kipenzi
Nawapenda watoto wakuwa ni rafiki wema sana!
 
Last edited by a moderator:
Yapi???????

Hiyo tabia yako ya kutembea na jojo na pipi filimbi mfukoni kwa ajili ya kutrick wake za watu kupitia watoto wao inatakutokea puani. Ati anakupenda!! Mtoto mdogo anakupendaje hivihivi kama siyo wewe kuintertain vijizawadi vidogo au kwenda nako maduka ya karibu na kumnunulia vijiazam?!. Ki ukweli ni tabia mbaya sana kuwa karibu na watoto wa watu, kama unapenda watoto kwanini usimzae wakwako? Una bahati huyo mama yake anaishi bila mume vinginevyo ungeshakatwa mapanga. Grow up man, acha utoto na watoto wa majirani!
 
Hiyo tabia yako ya kutembea na jojo na pipi filimbi mfukoni kwa ajili ya kutrick wake za watu kupitia watoto wao inatakutokea puani. Ati anakupenda!! Mtoto mdogo anakupendaje hivihivi kama siyo wewe kuintertain vijizawadi vidogo au kwenda nako maduka ya karibu na kumnunulia vijiazam?!. Ki ukweli ni tabia mbaya sana kuwa karibu na watoto wa watu, kama unapenda watoto kwanini usimzae wakwako? Una bahati huyo mama yake anaishi bila mume vinginevyo ungeshakatwa mapanga. Grow up man, acha utoto na watoto wa majirani!
FaizaFoxy ulikuwa unatafuta mtu mwenye matatizo yale uliyoya copy na ku paste huyu hapa
Msaidie tafadhali!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa!
Ennie mimi kuomba radhi ni mwepesi sana but hadi nijihisi nnakosa!
Tho, proof kosa langu kwandha, then ntawaomba radhi!

Ina maana bado hujagundua kuwa kutuambia tuna fall in love kwa vitu vidogo ni kutudhalilisha?
Hebu tutake radhi kabla sijanuna
 
Vijana wa JF nawaasa sana na nnawaomba mjifanyie ka research chenu kadogo nyinyi wenyewe kwa watu kama huyu anaependa kucheza na watoto, watu kama hawa ni hatari sana kwa jamii.

Tulioishi na kulea watoto zetu nje ya Tanzania tunaelewa haya mambo kwani hupata darsa mara kwa mara za "child abusers" na "pedophiles". Najuwa kliniki za Tanzania huhusisha afya ya mama na mtoto lakini kliniki za nje huhusisha pia namna ya kuhami mtoto na majanga ya ma "pedophiles".

Huyu mtu anaejiita "Eiyer" kwa maandiko yake, ameonesha "symptoms" zote za hayo matatizo na nimewawekea link mjisomee wenyewe.

Absolutely right Faizafoxy! Watu wa aina ya huyu jamaa wanatumia vijizawadi kutrick watoto wadogo na hatimaye kuwaabuse au kutrick mama zao kupitia watoto wao. Kwa ujumla sitaki kuona watu wa namna karibu na watoto wangu hata kidogo. Mtu mzima kuendekeza ujinga na watoto wa watu tena wa kike. Why?
 
Niko makini sana sista wangu kipenzi
Nawapenda watoto wakuwa ni rafiki wema sana!

kuwapenda watoto au hata wakubwa hakulazimishi kuwe na ukaribu pia. punguza ukaribu usio wa lazma kwa hako katoto vile ushaona mazingira hayaruhusu. hivi wewe hauna mtoto eeh?
 
Hapo ndiyo umuhimu wa baba unaonekana huyo mtoto amekufanay kuwa kama baba yake baada ya kuona baba yake mzazi hamjali na ww umekuwa faraja ya mtoto sasa tatzo liko kwa mama anataka apate pa kupulia baada ya kuachana na mumewe na kwakuwa hauna mzuka naye kabisa mwambie ukweli tu kwamba hauko tayari kuwa naye ww rafiki yako ni mtot basii na usimruhusu kuingia kwako eti kwa kisingizio cha kumleta mtoto maana ipo siku atakuvulia nguo na uzalendo ukakushinda maana muda mwingine hawa viumbe wakiamua kufanya yao huwa hawashindwi kwa kuwa wanaua udhaifu wa mwanaume uko wapi,endelea tu urafik na mtot ila kuwa makini tu!
 
Back
Top Bottom