Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,255
- 10,502
Hapo kuna zaidi ya upendo kwa mtoto, msome vizuri mleta mada. Hapo kuna urafiki aliojijengea kichwani huyu mleta mada kuwa ni urafiki wa kumuondelea stress, Huo ni urafiki gani kwa mtoto wa miaka 4?
Hapo anafikia mpaka kuona huyu mama anamuharibia urafiki wale na mtoto na kusema kuwa "nina hasira sana na huyu mama wa rafiki yangu huyu na leo nikirudi nitakuwa nimeshapata dawa yake"
Mpaka hapo hulioni kuwa ni tatizo kubwa na hii ni "child abuse"?
hayo ya kawaida, mbona wengine wapo jf lengo ni kuondoa au kupunguza stress na huwa wana hasira sana na computers zao zinapokuwa zipo slow. lol.