Khaaa!!!!!
Maua mengine hayanukii wala hayachanui...lol!!!!
Hahahahaaa!
Leave it!
...
Unajua nini kaka, UKARIMU unatucost sana sometimes!
Mi nna mifano miwili hai:
1 kuna mama mtu mzima tu (50s yrs) anapenda utoto sana, sasa mimi nilikua namsifia kiuongo uongo! "umependedha" "leo umeua" nk. Aaagh! Si aanze habari za kunitaka! Mpaka tajuuuta kumtania!
...
2 Chizi!
Nilimchukulia kama mtu mwenye akili timamu, sikumuonesha dharau au kumfanya ajiskie hana akili! Mmmh! Lol! Si aanze kutangazia watu eti mi mchumba wake!
...
Hiyo case yako ningekua mimi, ningeendelea na hako katoto vizuri tu but ningepunguza kwa kiasi kikubwa! Na nisingekubali aniletee usiku!
...
Sisi me ni dhaifu but hawa wenzetu wametuzidi!
Wanafall in love kwa vitu vidogo sana!
Kwanza ninakawaida ya kuwapenda watoto sana bila kujali kama ni wa jinsia gani,kwangu nawakubali wote sana na wamekuwa marafiki wangu wa ukweli sana kwakuwa hawajui kupenda kwa masharti na wakikupenda wanakupenda ki-ukweli hasa
Sasa uswahilini kwetu kuna katoto kamoja ka miaka mi-4 hivi,jinsia yake ni ya kike huwa napenda sana siku nikiwa nyumbani au nikiwahi kurudi huwa nakaa nako na kupiga story nako sana na hunifanya mastress yangu ya kutafuta hela kuisha kama sio kupungua
Katoto haka kananipenda sana nami nakapenda sana kwani ni karafiki kangu sana,tatizo linakuja kwa mama yake,anadai kuwa inafika wakati wa usiku kanalia kaletwe kwangu nae anadai anakuwa hataki
Lakini tatizo kubwa zaidi ni kwamba huyo mama yake anadai eti napendeza sana kuwa baba yake huyo mtoto na anadai kwakuwa mtoto wake ananipenda nae ananipenda na ameanzisha visa wakati mwingine hukaleta hako ka rafiki kangu usiku wa saa 4 hadi 5 usiku akidai eti kanalia akalete nami huwa nakapokea na kukaa nako hadi kanapolala kisha nampa mama yake na kisha kuondoka
Mama wa haka karafiki kangu alikuwa ameolewa lakini ameachika kwa mumewe kwa sababu yule jamaa hakuwa ametulia
Sasa hizi vurugu zimekuwa zinazidi sana hadi naanza kukereka kwasababu sina mpango kabisa na huyo dada kwani ana mahusiano na jamaa mmoja hapa mtaani na nafahamiana nae sana
Naanza kuwaza kukakatia line kale ka rafiki kangu lakini roho inaniuma sana
Nimejaribu kumwambia aache tabia hiyo lakini naona kama nampigia mbuzi gitaa
Sijaamua kuchukua maamuzi yoyote hadi sasa lakini naona kama huyu dada ananiharibia urafiki wangu na huyu mtoto na hili sio halali na halikubaliki kabisaaa
Yaani hapa nina hasira sana na huyu mama wa rafiki yangu huyu na leo nikirudi nitakuwa nimeshapata dawa yake
Enyi akina dada hebu mtuache na hawa marafiki zetu na msituvurugie urafiki wetu bana!
Acha utani bhana!
Unajua niko thiriath?
Au nikuje piemo?
Nasikitika sana kukueleza ukweli.
Hayo maelezo yako yote yanaashiria una "symptoms" za u "pedophilia". Dah, mtu kama wewe ni hatari sana kwa jamii na kwa watoto;
Soma zaidi:
6. The always available babysitter
Often a single male with no friends, this sort of paedophile will place himself in a situation where he becomes the trusted babysitter, often for the children of several, usually single parent families.
The mothers regard him as a godsend, who will safely mind their children while they go to work, or go out with their friends.
In many cases the single parent is unable to provide the support the children need, leaving the scene wide open for the child molester to play "uncle" and provide care, attention and "fun".
Many paedophiles seek out mothers of single-parent families for the purpose of victimising their children, which may have been the case with loner Michael Guider, who regularly babysat a group of children and while their mothers were absent, drugged the girls and photographed them naked.
He was most fond of Samantha Knight, the pretty Bondi nine-year-old who went missing in 1986.
Guider eventually pleaded guilty to her manslaughter, claiming he had accidentally overdosed her. Samantha's body has never been found.
Source: Could you spot a paedophile? Here are the warning signs | News.com.au
Natamani nimuone huyo mama nimpe darsa la watu kama wewe.
Kivipi?
Eleza kijana!
Just be careful. Women nowadays are crazy.
Nawewe pia upo single?? Kama upo single basi anaona labda trick yako ya kucheza na mtoto ni namna ya kumpata yeye ndo mana ana kurahisishia kukuletea mtoto ucheze nae hata usiku.
Ebu msome kwanza kama vipi kuna siku ataamua kufunguka kama ataona ausomeki then mchane uepuke usumbufu.
I doubt kama una uwezo wa kuelewa mambo
Hukuielewa mada niliyoiandika kwa lugha yako mwenyewe uliyozaliwa nayo,nina uhakika hata hayo maelezo uliyo copy na kisha kuya past hapa hujayasoma na ukaelewa!