mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,039
Hii haikubaliki hata kidogo na nawaomba wamiliki wenzangu wa siomu za mkononi tukatae kwa nguvu zote makampuni ya simu kutumia simu zetu kama bango lao la biashara!
Wanatujazia mameseji kibao wakitangaza biashara zao. Simu ninunue mimi halafu wewe uitumie kwa matangazo yako ya biashara bure bila kunichangia chochote. Halafu matangazo mengine ya wizi kabisa!!
Niliwahi kupata message toka Vodacom ikisema ""umefanikiwa kujiunga na..." wakati siyo kabisa. Au "namba yako imechaguliwa kwenye draw ya kushindania".
Uhalali ni kuwa kila message ya kutangaza bidhaa zao wailipie shilingi kadhaa na waniingizie kwenye akaunti yangu ya M-pesa, tigo pesa nk. Utakuta simu imejaa mameseji hadi kero!! Hii haikubaliki!!
Wanatujazia mameseji kibao wakitangaza biashara zao. Simu ninunue mimi halafu wewe uitumie kwa matangazo yako ya biashara bure bila kunichangia chochote. Halafu matangazo mengine ya wizi kabisa!!
Niliwahi kupata message toka Vodacom ikisema ""umefanikiwa kujiunga na..." wakati siyo kabisa. Au "namba yako imechaguliwa kwenye draw ya kushindania".
Uhalali ni kuwa kila message ya kutangaza bidhaa zao wailipie shilingi kadhaa na waniingizie kwenye akaunti yangu ya M-pesa, tigo pesa nk. Utakuta simu imejaa mameseji hadi kero!! Hii haikubaliki!!