mie nshakuja zangu kazini lakini hadi naondoka kumi na moja na nusu ilikuwa ni mbado!
at least you have said something, simu yake haipatikani na ilipofika mida ya saa mbili alisema anazima simu eti imetangazwa kuwa mida ya saa tatu kuna sayari inatoa mionzi kwa hyo anachukua tahadhari,yaani hadi kumi na moja hii nachomoka kwenda kibaruani bado hola,yaani nahisi kweli kuletewa mtoto mchina!
King'asti mida hii kulikoni my dada maan nyumbani vyumba
Vimejaa ukirudishwa utalala wapi?