Habari mpya kutoka mtandao wa Google

Habari mpya kutoka mtandao wa Google

Watu tunatumia viswaswadu sambamba na smart phone ongeza na smart kitochi, zote hizi ni kutofautisha gharama za kuingia mitandaoni na kupata features tofauti. Viswaswadu hutumia kb na smart phone hutumia mb na spidi zao hutofautiana. Viswaswadu havili sana data. Sasa facebook na google havitaki tena, wanakuambia sasisha. Sasa utasasishaji app ya google kwenye kiswaswadu? Duck duck inakubali ila haina taarifa nyingi unazozitaka. Yahoo ndio haipo kabisa siku hizi kwenye viswaswadu
 
Google walikuwa na washindani wao wakubwa kwenye search engine km Yahoo na Bing.. Bing ilitumika zaidi kwenye Browser ya Internet Exproler hasa hasa kwenye simu zilizotumia Os ya Symbian km Nokia...na kulikuwa Browser nyingine ilikuwa inafiti sana kwenye viswaswadu na ikawa mbadala wa Opera mini iliitwa UC Browser naona ilipigwa ban Global imebaki China kwa madai ya kwamba ilikuwa inaiba data na kuipa serikali ya China..
 
Google walikuwa na washindani wao wakubwa kwenye search engine km Yahoo na Bing.. Bing ilitumika zaidi kwenye Browser ya Internet Exproler hasa hasa kwenye simu zilizotumia Os ya Symbian km Nokia...na kulikuwa Browser nyingine ilikuwa inafiti sana kwenye viswaswadu na ikawa mbadala wa Opera mini iliitwa UC Browser naona ilipigwa ban Global imebaki China kwa madai ya kwamba ilikuwa inaiba data na kuipa serikali ya China..
duuh¿ kwan google makao makuu ni wap mkuu
 
Ni kweli search engine ya Google imesitisha kutoa huduma kwenye simu za viswaswadu kupitia Internet Browser ya Opera mini lakini unaweza kutumia search engine ya DuckDuckGo na mambo yakaenda km kawaida..
saw kabsa kwamba ukiziba kushoto tunapita kulia
 
Back
Top Bottom