Mzigua_255
JF-Expert Member
- Jun 25, 2026
- 814
- 1,645
Iphone na samsung kwenye ubora wenuWazuie na tekno na infinix , hivyo navyo ni viswaswadu tu
Iphone na samsung kwenye ubora wenuWazuie na tekno na infinix , hivyo navyo ni viswaswadu tu
We wasema mkuuIphone na samsung kwenye ubora wenu
hii itel ya line tatu ndio yangu hadi bet natumia hiyo hiyo na maisha yanasonga. Kucheza games kama ile ya puzzle lazima nitoe voda ibaiki airtel nicheze bila hiyo wananiambia buy. Ukikuta cmu haina opera hiyo achana nayo.Tuliocheza jar games tunajua, wengine hata hawajui kama kuna opera mini ya kiswaswadu duniani, browser ya kweny kiswaswadu ilinifanya niijue jamiiforums
Ili muenjoy pekee yenu.... Tekno ni smartphone mkuuWazuie na tekno na infinix , hivyo navyo ni viswaswadu tu
Walianza kufunga kipengele cha picha sasa wamefunga mazima ila kuna file linaitwa huduma kila kiswaswadu lipo ndo linafunguka googleBasi ni browser ban, itakuw kuna version fulani wamefungia, kwani hata smart kitochi zingine c zina opera mini
Asante kwa taarifa bwasheeIli muenjoy pekee yenu.... Tekno ni smartphone mkuuView attachment 3634923
Naye amenyimwa access ya ku post maudhui ya kifirauni mitandaoni ?Kumbe ndiyo maana babu yangu anarusha rusha mikono juu kwa ghadhabu! Namuuliza sababu ni nin, anasonya tu
Ile Carl care au?Walianza kufunga kipengele cha picha sasa wamefunga mazima ila kuna file linaitwa huduma kila kiswaswadu lipo ndo linafunguka google
Pasina shaka kabisa. Alikuwa anamfuatilia sana Mzee mwenzake, MwandamboNaye amenyimwa access ya ku post maudhui ya kifirauni mitandaoni ?
Hata Samsung aina zote ni viswaswadu vya washua. Wavipige ban tu.Wazuie na tekno na infinix , hivyo navyo ni viswaswadu tu
Naunga mkono hoja , hata iPhone kwanzia 13 shuka chini vipigwe banHata Samsung aina zote ni viswaswadu vya washua. Wavipige ban tu.
Linaitwa HUDUMA ukibadili kugha linaitwa(Browser)Ile Carl care au?
Watakuwa wamefanya usafi wa maana sana mitandaoni.Naunga mkono hoja , hata iPhone kwanzia 13 shuka chini vipigwe ban
Aah, kmb bc itakuw ni browser wamefunga, maana lile file nakumbuk lina part ya ku insert URL unatype unavhotak inaleta majibuLinaitwa HUDUMA ukibadili kugha linaitwa(Browser)
ni viswaswadu vilivyo changamkaWazuie na tekno na infinix , hivyo navyo ni viswaswadu tu
Zipo Samsung ambazo ni tekno au infinix zilizo changamkaWatakuwa wamefanya usafi wa maana sana mitandaoni.
Ni kweli search engine ya Google imesitisha kutoa huduma kwenye simu za viswaswadu kupitia Internet Browser ya Opera mini lakini unaweza kutumia search engine ya DuckDuckGo na mambo yakaenda km kawaida..Ule mtandao pendwa wa google unaojua kila kitu leo asubuhi saa 12 umefungia simu zenye uwezo mdogo kuutumia asa vile viswaswadu venye operamin
Jf naenda www.jamiiforums ndo naipata bila ivyoWatakuwa wamefanya usafi wa maana sana mitandaoni.
Ikiwezekana wafungie na nchi maskini zote... Ili kufuta taka zote onlineWatakuwa wamefanya usafi wa maana sana mitandaoni.
Samsung docomo zinakuja na Chrome browser Fake, ukiinstall original unakuw nazo mbili 😂Zipo Samsung ambazo ni tekno au infinix zilizo changamka