MaweSaba
JF-Expert Member
- May 3, 2024
- 362
- 536
Maoni
Habari za leo wadau,
Sera mpya iliopitishwa na Bunge letu Mwaka wa Fedha 2026 - 2027, ITAFELI kwa sababu
1. Miamala ya Fedha Tanzania inagharimu watanzania 10% kwa miamala midogo na zaidi ya 3% kwa miamala mikubwa (100k +).
Ili ifanikiwe, serikali ilipaswa kuondoa kabisa kodi kwenye miamala. Tayari mnachukua VAT kwa kila bidhaa, kwa nini mtoze tena kwenye kulipia iyo huduma au bidhaa?
2. Kuondoa TOZO kwenye miamala ya simu
Ili kila mtanzania aridhia kulipia manunuzi ya bidhaa na huduma mbali mbali kwa kutumia simu au bank. Ilipaswa kurahisisha gharama za transactions hasa cross transaction kutoka benki kwenda kwenye mitandao ya simu e.t.c
3.. Kupunguza gharama za huduma za inrernet, transaction za kidijitali zinahitaji mtandao, kwa nchi jirani, RWANDA 1,000 wanapata GB 7. Kwa digital transaction mtu hafikirii kabisa. Hapa kwetu, ni ngumu kushawishi mtu awe na app anayo control pesa zake kama internet is not cost effective
4. Kwa wafanyabiashara, cashless inasaidia kutrack mapato kidigitali na kutunza rekodi kwa urahisi, lakini kama wateja hawatumii cashless services, bado serikali itapata shida kutrack mapato ya wafanya biashara
Tunzeni Uzi huu tupate majibu ya initiative hii mwaka kesho
Habari za leo wadau,
Sera mpya iliopitishwa na Bunge letu Mwaka wa Fedha 2026 - 2027, ITAFELI kwa sababu
1. Miamala ya Fedha Tanzania inagharimu watanzania 10% kwa miamala midogo na zaidi ya 3% kwa miamala mikubwa (100k +).
Ili ifanikiwe, serikali ilipaswa kuondoa kabisa kodi kwenye miamala. Tayari mnachukua VAT kwa kila bidhaa, kwa nini mtoze tena kwenye kulipia iyo huduma au bidhaa?
2. Kuondoa TOZO kwenye miamala ya simu
Ili kila mtanzania aridhia kulipia manunuzi ya bidhaa na huduma mbali mbali kwa kutumia simu au bank. Ilipaswa kurahisisha gharama za transactions hasa cross transaction kutoka benki kwenda kwenye mitandao ya simu e.t.c
3.. Kupunguza gharama za huduma za inrernet, transaction za kidijitali zinahitaji mtandao, kwa nchi jirani, RWANDA 1,000 wanapata GB 7. Kwa digital transaction mtu hafikirii kabisa. Hapa kwetu, ni ngumu kushawishi mtu awe na app anayo control pesa zake kama internet is not cost effective
4. Kwa wafanyabiashara, cashless inasaidia kutrack mapato kidigitali na kutunza rekodi kwa urahisi, lakini kama wateja hawatumii cashless services, bado serikali itapata shida kutrack mapato ya wafanya biashara
Tunzeni Uzi huu tupate majibu ya initiative hii mwaka kesho