chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,379
- 5,887
Huyu jamaa ni Dini gani,,kwikwikwi,naona kavaaa kanzu ya msikitini,ili iweje,dini ni imani, Au tuseme Bashite alidang'anya watanzania dini yake ya ukweli..
Au Bashite anaamini kuwa dini ya kiislam dini ya majini kama wanavyoamini wengine,Au tuseme hawa masheikh wanamzuga tu huyu jamaa
Au tuseme hawa masheikh hawajui nini wanafanya au labda wanajua lakini njaa zimeweshika......Mungu sio wakuchezewa haitapita muda utaona vipi Bashite na hawa Masheikh watakavyo adhirika...
