Gwajima is a whistle blower

Gwajima is a whistle blower

3b49f73a3aadd427268719a59b7a7e4d.jpg



Hii ni familia ya Bashite haya oneni wenyewe.

Kwa hiyo huo ndo ushahidi kwamba Makonda ana vyeti feki?

Like seriously...?
 
Bashite anajaribu kurusha miguu lakini hatumuachi tuko naye sambamba mwanzo mwisho
 
Wengi walifahamu kuwa elimu ya RC ina utata lakini hakuna aliyethubutu kufungua mdomo, leo hii Gwajima ameliweka hadharani tena amemleta mzee kutoka kijiji cha Kalomije anaemfahamu RC tangu enzi anasoma shule ya msingi kwa jina la Daudi Bashite.

Gwajima alikua amepanga mipango ya kuweka swala bayana J2, Ijumaa anawekwa ndani kumfunga mdomo.

FREE GWAJIMA, HE IS A WHISTLE BLOWER.
Vipi kwaya ya ufufuo ilikwenda kutumbuiza kituo cha polisi? Au kauli ya mkuu inafanya kazi.....weka nao ndani wakaimbie hukohuko.. Mkuu hataki ujinga
 
We jamaa nawe umeshakuwa kama pasko mayala.. kaa pembeni usubiri mwisho wa hili swala
Me and Pasco could not be more disparate than we already are!

Distractions aside, where's the hard evidence?

Please show me...please...please...
 
...hili la kumkumbatia viongozi wenye vyeti feki linatengeneza precedent mbaya sana kwenye utawala huu dhalimu...maana sasa hivi wako bize kukandamiza haki za watumishi kwa kigezo hichohicho cha vyeti feki...sasa watatokaje kwenye hili la bashite Daudi?
 
Wengi walifahamu kuwa elimu ya RC ina utata lakini hakuna aliyethubutu kufungua mdomo, leo hii Gwajima ameliweka hadharani tena amemleta mzee kutoka kijiji cha Kalomije anaemfahamu RC tangu enzi anasoma shule ya msingi kwa jina la Daudi Bashite.

Gwajima alikua amepanga mipango ya kuweka swala bayana J2, Ijumaa anawekwa ndani kumfunga mdomo.

FREE GWAJIMA, HE IS A WHISTLE BLOWER.
Huyu mchungaji naye haeleweki kabisa,
Gharama zote hizo za nini kuwatoa watu kijijini mpaka Dar, au wao watasema kitu tofauti na alichokisema yeye..?
Si alisema ana vyeti vyake kwa nini asivitoe tu vyeti tuvione kuliko kutuletea maneno maneno.
Wakati mwingine nawafikiria sana kondoo wake naona kuna sehemu wana mapungufu.
#Toa_vyeti mchezo uishe
 
Wengi walifahamu kuwa elimu ya RC ina utata lakini hakuna aliyethubutu kufungua mdomo, leo hii Gwajima ameliweka hadharani tena amemleta mzee kutoka kijiji cha Kalomije anaemfahamu RC tangu enzi anasoma shule ya msingi kwa jina la Daudi Bashite.

Gwajima alikua amepanga mipango ya kuweka swala bayana J2, Ijumaa anawekwa ndani kumfunga mdomo.

FREE GWAJIMA, HE IS A WHISTLE BLOWER.
Bashite atamshikilia gwiji Gwajima hadi lini?
NBashite anajaribu kizima moto kwa petroli
 
Baba bashite anazunguka na ziara zake tu, elimu ya mwanae haimuhusu, mawaziri wote wa elimu kimyaaaa...hakuna aliyejitokeza kutoa ufafanuzi..maajizo kutoka juu ni kumkamata Gwajima...hakika elimu ya bashite inatia mashaka sanaa
Issue ya cheti haiwezi kuzuia mambo mengine yasiendelee kufanyika.
 
Hawa viongozi wa dini nao wanapelekwa pelekwa kweli na Davido.Au kwa kuwa misikiti na makanisa yao yapo kwenye mkoa wake?
 
Me and Pasco could not be more disparate that we already are!

Distractions aside, where's the hard evidence?

Please show me...please...please...

You have no expertise in recognising the legal evidence, so dont ask for it, or if you can use your brain to atleast 0.5 percent of its capability then every piece of the puzzle is starting to come on its place beautifully!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom