Gwajima is a whistle blower

Gwajima is a whistle blower

Yeye alitoa angalizo kuwa dawa ina chemka, usishangae ukisikia moto ulizima hivyo haikuchemka. Kutoka vyeti kuwa kwa ofisi mpaka ugeni kutoka kijijini. Ndege wawili kwa jiwe moko.
Ndio watumushi wa dotikomu hao.

Na washawasha!



Ok, fair enough.

Ila unajua kuwa Gwajima naye alidai kuwa anao ushahidi wa kuwa Paul Makonda anaitwa Daudi Bashite?

Sasa vipi na Gwajima naye...atuonyeshe huo ushahidi anaodai anao au yeye tumpe pass?

Manake kasema anao lakini hajatuonyesha...sasa what if kama anatudanganya tu?
 
Yupo serious sana hapo nahic mtume alimshukia akasemezana nae kwa lugha...leo kakumbuka kuvaa kiustadhi ..hajavaa viatu katinga sendo
Hawa wanaomuombea sijuin wataweka wapi sura zao pindi atakapotumbuliwa. Manake wamepiga na foto kabisa..

Anyway..
 
Bashite yupo bize na kubadili staili za sala na swala...hakyananii, hii ya kuhudhuria swala ijumaa na ibada jumapili lazima ile ziro igeuke kua iv
Haaaaa haaaa, rudisha mbavi zangu
 
Whistle Blower wa wp???....ujinga ujinga tu...nae angefata utaratibu wa sheria angeenda polisi wafungue jalada la uchunguzi juu ya tuhuma zilizozagaa...kwa ujinga wake anageuza kanisa lake kama sehemu ya mahakama kusikiliza ushahidi..na kutoa hukumu..this is stupid....kila mtu angefanya hivyo kukiwa na tuhuma dhidi ya jambo fulani ...basi unaenda kwenye kijiwe chako kuhukumu...nchi haiendi hivyo bidada jiongeze
You're right, Gwajima is not a spiritual leader, he's just a populist. Hata waumini wake yabidi wachekiwe bongo zao, no wonder wanasema imani ni sawa na mihadarati, ikikolea huwezi kuelewa mtu anakuambia nini.
 
Wengi walifahamu kuwa elimu ya RC ina utata lakini hakuna aliyethubutu kufungua mdomo, leo hii Gwajima ameliweka hadharani tena amemleta mzee kutoka kijiji cha Kolomije anaemfahamu RC tangu enzi anasoma shule ya msingi kwa jina la Daudi Bashite.

Gwajima alikua amepanga mipango ya kuweka swala bayana J2, Ijumaa anawekwa ndani kumfunga mdomo.

FREE GWAJIMA, HE IS A WHISTLE BLOWER.
Hoja hapa MADAWA YA KULEVYA, THIBITISHENI PASIPO SHAKA KUWA HAMJIHUSISHI!!!Daudi Bashite has nothing to do with rapid rise of mateja mtaani. Tell us how to solve it. Counter offer not required at the moment kwa kuwa mwenyekiti wetu na Mtumishi wa Mungu elimu zao zina walakini
 
Ok, fair enough.

Ila unajua kuwa Gwajima naye alidai kuwa anao ushahidi wa kuwa Paul Makonda anaitwa Daudi Bashite?

Sasa vipi na Gwajima naye...atuonyeshe huo ushahidi anaodai anao au yeye tumpe pass?

Manake kasema anao lakini hajatuonyesha...sasa what if kama anatudanganya tu?

Si wamemfanyia visa yuko rumande? I guess ilikuwa atoe jumapili hii kila kitu
 
Si wamemfanyia visa yuko rumande? I guess ilikuwa atoe jumapili hii kila kitu
Well...kwani bado yuko ndani?

Anyway still hatokaa rumande milele [that is kama bado yupo ndani] na akitoka avitoe tuvione hivo vyeti tuone kama ni vya kweli au la.
 
hawa jamaa wana calculation za kijinga sana.

sidhani kumkamata na kumweka ndani gwajima,italeta hofu kwa wanao hoji uhalali wa elimu ya ndg. daudi bashite aka paul makonda,bali itawapa kiburi zaidi cha kuendelea kukazia hoja zao.
Hawajui ndo wanazidi kutupa mashaka zaid
Nn wanakificha?
 
img-20170303-wa0010-jpg.476540
Hapa Daudi Bashite wanamjazia majini tu.
Huko hakuna roho mtakatifu kwa sababu hawamjui wala hawamtambui.
Majini yote kabisa duniani yana LIMITED power.
Mbele ya Damu ya mwana kondoo wa Mungu aliyechinjwa tangu kuwekwa kwa misingi ya dunia hayawezi fua dafu.
Hakuna Uchawi wala uganga juu ya mtumishi wa Mungu.
 
0b5ed86b9f54f4b06e170986151c3832.jpg


"If anyone thinks he is religious and does not bridle his tongue but deceives his heart, this person's religion is worthless." - James 1:26.
Wote tunaijua Biblia vizuri sana.

We spent half of our lives studying, researching... please do not insult our Intelligence. Was that a wrist blowing or provocative act?
Stop distorting the name of Jesus in order to propagate hate, cause mistrust in our communities.

Tusitafute umaarufu kwa gharama za kuwadhalilisha wengine.

Wahenga walinena "Kidonda cha kujitonesha, mtu haambiwi poleee".
Promote peace and build bridges of good understanding between communitiea after communities.

We earn respect by respecting others.
 
0b5ed86b9f54f4b06e170986151c3832.jpg


"If anyone thinks he is religious and does not bridle his tongue but deceives his heart, this person's religion is worthless." - James 1:26.
Wote tunaijua Biblia vizuri sana.

We spent half of our lives studying, researching... please do not insult our Intelligence. Was that a wrist blowing or provocative act?
Stop distorting the name of Jesus in order to propagate hate, cause mistrust in our communities.

Tusitafute umaarufu kwa gharama za kuwadhalilisha wengine.

Wahenga walinena "Kidonda cha kujitonesha, mtu haambiwi poleee".
Promote peace and build bridges of good understanding between communitiea after communities.

We earn respect by respecting others.
Gat ya broda
 
Bashite zero.
Naamini uchunguzi unaendelea na soon tutapata majibu bila kumwonea mtu. Kama mtu amemaliza darasa form four na kupata BASHITE basi akafanye kazi inayoendana na UBASHITE.
Badala ya kusalimiwa kama boss na wafanyakazi walioko chini yake, yeye ndiyo anapaswa kuwasalimia. Daudi Albert Bashite tunakutaka uje kuondoa utata huu! Ni kweli ulipata fa fa fa fa fa fa fa form for!
 
Wamtafute mwingine wa kumtishia hapo kwa Baba Askofu Gwajima wameingia choo cha kike, Akiwekwa ndani ndo anavyozidi kudownload material roho mtakatifu anazidi kumhamasisha aseme huyu Baba Askofu asemi kwa ridhaa yake bali anafosiwa na roho mtakatifu sasa kumzuia ni ishu ngumu sababu yeye hatumikii serikali hii ya Rais Magufuli yeye anatumikia serikali ya Mungu Aliyehai na waziri Roho mtakatifu anamwamuru Aseme hawezi kutotii agizo la mkuu wake wa kazi hapo wamenoa
 
Kwa kweli kuna vitu vinginene tunavyo vikomalia lazima tuvifikirie kwanza, hivi kupoteza muda na nguvu zako kutaka kuoneshwa vyeti vya Makonda wewe ndiye umemuajiri? Mamlaka za ajira zinataratibu na vigezo zinazoangalia ili kumuweka mtu yeyote mahali popote zinapoona anafaa. Serikali hawezi kuendeshea kwa matamanio ya watufulani kwa kuwa tu wamelalamika JF au kwasababu Gwajima ameongea nini, sana sana huyo Gwajima anatafuta tu Kiki ili aonekane na yeye ana ubavu wa kuitingisha Serikari sababu tu ya hizo fedha alizo walubuni waumini wake wakamchangia kama sadaka! Kiasi akafikia mpaka kuvunja ndoa za watu lakini waumini wake wanaona sawa tu! Aliishawahi kumtukana Askof Pengo hadharani, waumini wake wakamuona yupo sawa tu aliisha toa mpaka siri za toba ya muumini wake Dr.Slaa waumini bado wanaona sawa tu. Akaja kuelewa ndoto yake aliyoota na akapatikana kwamba lazima ingetimia October 2015 lakini mambo yakaenda kinyume! Waumini wake bado wakonae tu! Mtu huyu anathubutu sasa hata kumpangia Rais kazi na kujaribu kumuelekeza nini cha kumfanyia Makonda! Kweli kwa Serikali makini mtu kama huyo ni sahihi kumuangalia tu akiendeleza hizo porojo zake tena akijaribu kuzipandikiza kwenye imani za watu?
 
Baba bashite anazunguka na ziara zake tu, elimu ya mwanae haimuhusu, mawaziri wote wa elimu kimyaaaa...hakuna aliyejitokeza kutoa ufafanuzi..maajizo kutoka juu ni kumkamata Gwajima...hakika elimu ya bashite inatia mashaka sanaa
Tatizo ni ukabila ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom