Mungu sio mnafiki,hata asali vp hawez kubadil uwongo kuwa ukwel ivo bashite hana pa kutokeaBashite yupo bize na kubadili staili za sala na swala...hakyananii, hii ya kuhudhuria swala ijumaa na ibada jumapili lazima ile ziro igeuke kua iv
Mkuu umeona wapi kiongozi wa madhehebu ya dini anawekwa ndani kwa kosa la utumiaji wa madawa ya kulevya na yakosekane nyumbani kwake na pia mwilini mwake.
Haya maneno hata Nyerere aliyaongea, na yana apply kwa josephat gwajima pia.Whistle Blower wa wp???....ujinga ujinga tu...nae angefata utaratibu wa sheria angeenda polisi wafungue jalada la uchunguzi juu ya tuhuma zilizozagaa...kwa ujinga wake anageuza kanisa lake kama sehemu ya mahakama kusikiliza ushahidi..na kutoa hukumu..this is stupid....kila mtu angefanya hivyo kukiwa na tuhuma dhidi ya jambo fulani ...basi unaenda kwenye kijiwe chako kuhukumu...nchi haiendi hivyo bidada jiongeze
Ingekuwa baada ya kumtoa ndani Gwajima vyeti vya Daudi Bashite RC wa Dsm vinabadilika ingekuwa HERI sana..Wengi walifahamu kuwa elimu ya RC ina utata lakini hakuna aliyethubutu kufungua mdomo, leo hii Gwajima ameliweka hadharani tena amemleta mzee kutoka kijiji cha Kalomije anaemfahamu RC tangu enzi anasoma shule ya msingi kwa jina la Daudi Bashite.
Gwajima alikua amepanga mipango ya kuweka swala bayana J2, Ijumaa anawekwa ndani kumfunga mdomo.
FREE GWAJIMA, HE IS A WHISTLE BLOWER.
View attachment 476577
Haya maneno hata Nyerere aliyaongea, na yana apply kwa josephat gwajima pia.

mkyutMbona yy aliyejitajia wenzake ajapelekwa ndani na akawavunjia heshima ? Kwanini yy amesema tu leo mmemnyaka kwa kisingizio cha kuwa mnamfanyia uchunguzi tena? This is unfair ,mnsjitekenya wenyewe af mnacheka ,[HASHTAG]#chenyemwanzokinamwisho[/HASHTAG]Whistle Blower wa wp???....ujinga ujinga tu...nae angefata utaratibu wa sheria angeenda polisi wafungue jalada la uchunguzi juu ya tuhuma zilizozagaa...kwa ujinga wake anageuza kanisa lake kama sehemu ya mahakama kusikiliza ushahidi..na kutoa hukumu..this is stupid....kila mtu angefanya hivyo kukiwa na tuhuma dhidi ya jambo fulani ...basi unaenda kwenye kijiwe chako kuhukumu...nchi haiendi hivyo bidada jiongeze
Usitete ujingaWhistle Blower wa wp???....ujinga ujinga tu...nae angefata utaratibu wa sheria angeenda polisi wafungue jalada la uchunguzi juu ya tuhuma zilizozagaa...kwa ujinga wake anageuza kanisa lake kama sehemu ya mahakama kusikiliza ushahidi..na kutoa hukumu..this is stupid....kila mtu angefanya hivyo kukiwa na tuhuma dhidi ya jambo fulani ...basi unaenda kwenye kijiwe chako kuhukumu...nchi haiendi hivyo bidada jiongeze
Sikukosea niliposema nakupenda ,yani unaongea vitu na kumjibu mtu kama ulikuwa vile kichwani kwangu, dah asante kunisaidia kumjibu huyo.Hata kama mnajiona mku juu ya sharia na kuita whistle blowing ni ujinga you are days are numbered.