Gwajima is a whistle blower

Gwajima is a whistle blower

Kwani hii vita iliyo anzishwa na mkuu wa mkoa na baadae kamishina baada ya kuteuliwa akapokea kijiti ilihusu utumiaji na kupimwa tu? Au madawa ya kikosekana nyumbani ndio cheti cha kuto kujihusisha hata kama awali ulituhumiwa? Je una kuwa ndio mwisho wa kuchunguzwa? Kumbuka kulikuwa na muda ambao watuhumiwa walipewa kujisalimisha pengine wakautumia na kujipanga.

Mkuu umena wapi kiongozi wa dini kuvunja utaratibu wa muda alio pangiwa wa kuripoti polisi na akaachwa bila kuchukuliwa hatua.




Na washawasha!
Jitoe ufahamu mpaka uwe dc
 
hawa jamaa wana calculation za kijinga sana.

sidhani kumkamata na kumweka ndani gwajima,italeta hofu kwa wanao hoji uhalali wa elimu ya ndg. daudi bashite aka paul makonda,bali itawapa kiburi zaidi cha kuendelea kukazia hoja zao.
Siamini kama kwa askofu hakuna chumba cha spare kuwalaza hao wageni na chakula cha kuwalisha mpaka wamtoe ndani.
 
Tena ndio wanatufanya tuzidi kufuatilia swala hili, tunae tu Daudi Bashite hata akiombewa na sisi tunaomba dua zetu.
Kuna tofauti kati ya mungu bahari ma Mungu wa Elia. Waache waendelee kumdanganya vyeti havitabadilika ng'o
 
Huyu mchungaji naye haeleweki kabisa,
Gharama zote hizo za nini kuwatoa watu kijijini mpaka Dar, au wao watasema kitu tofauti na alichokisema yeye..?
Si alisema ana vyeti vyake kwa nini asivitoe tu vyeti tuvione kuliko kutuletea maneno maneno.
Wakati mwingine nawafikiria sana kondoo wake naona kuna sehemu wana mapungufu.
#Toa_vyeti mchezo uishe
Kwani yule ana dhiki kama wewe????mwache atumie pesa zake kwa maslahi ya taifa.anampa sapoti ******** kupambana na vyeti feki
 
Whistle Blower wa wp???....ujinga ujinga tu...nae angefata utaratibu wa sheria angeenda polisi wafungue jalada la uchunguzi juu ya tuhuma zilizozagaa...kwa ujinga wake anageuza kanisa lake kama sehemu ya mahakama kusikiliza ushahidi..na kutoa hukumu..this is stupid....kila mtu angefanya hivyo kukiwa na tuhuma dhidi ya jambo fulani ...basi unaenda kwenye kijiwe chako kuhukumu...nchi haiendi hivyo bidada jiongeze
Mkuki kwa nguruwe eee. Wakati Bashite anaropoka majina ya watu ovyo hadharani mbona hukuja kutema uji wako hapa. Tunachotaka ni vyeti bla bla hatutaki kusikia.
 
Hawa viongozi wa dini nao wanapelekwa pelekwa kweli na Davido.Au kwa kuwa misikiti na makanisa yao yapo kwenye mkoa wake?
Hao wazee Wa ccm,hata wewe waweza nunua kanzu ukaivaa ukapiganae picha eti mm sheikh namuombea dua.njaaa mbayaaa
Bashite atamshikilia gwiji Gwajima hadi lini?
NBashite anajaribu kizima moto kwa petroli

You have no expertise in recognising the legal evidence, so dont ask for it, or if you can use your brain to atleast 0.5 percent of its capability then every piece of the puzzle is starting to come on its place beautifully!!
 
Mwambieni huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja, Adhana uwe msikitini na kengele zikilia uite Bwana Yesu.
Inawezekana kutumikia mabwana wawili sharti uwe kichaa yani mgonjwa wa akili
 
kama kweli kuna viongozi ngazi ya uwaziri au RC wana vyeti feki, ina maana kukesha usiku kucha kwa mamlaka za uteuzi wakati wa mchakato wa kuwapata kulikuwa ni kiini macho? au huko kukesha hakukuwepo?
 
Makonda weka vyeti vyako hadharani.

Ongezea na cheti cha clinic.
Tunataka majina yawe bayana.
 
Nchi imetekwa nyara watz tunashanga
 
Wengi walifahamu kuwa elimu ya RC ina utata lakini hakuna aliyethubutu kufungua mdomo, leo hii Gwajima ameliweka hadharani tena amemleta mzee kutoka kijiji cha Kalomije anaemfahamu RC tangu enzi anasoma shule ya msingi kwa jina la Daudi Bashite.

Gwajima alikua amepanga mipango ya kuweka swala bayana J2, Ijumaa anawekwa ndani kumfunga mdomo.

FREE GWAJIMA, HE IS A WHISTLE BLOWER.
17021486_1833772353303841_6248292227160766544_n.png

13312815_1522157124465367_2331787126621692781_n.jpg

16640874_1031541093656034_1077265080195570317_n.jpg
 
Kwani yule ana dhiki kama wewe????mwache atumie pesa zake kwa maslahi ya taifa.anampa sapoti ******** kupambana na vyeti feki
Umeliona suala la Utajiri/Umaskini tu..?
Anyway naona maneno ya Emmanuel Mbasha yanaanza kutimia
 
Watawala wanatumia nguvu nyingi sana kuzima moto wa bashite
 
Hyo whistle ndo akaipigie central sasa, you can't compete with the government
 
Akili zao ni kama za mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga kisa kaona hatari,

Kumkamata gwajima sio suluhisho ya kutohoji vyeti feki ya malaika yule

Nina uhakika hakuna yyt hapa Tz kwenye hii serikali atakaejaribu kumgusa mtoto yule mpk bwana yule aamue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom