Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Sio wahamiaji , jiji la arusha lina karibu robo tatu ya wakazi wote wa mikoa ya kaskazini.

Kusini ni wazuri sana , ila unaweza tembea masaa matutu ndio uwaone 😅
Kusini anamaanisha Lindi na Mtwara au hapa Mbeya? Dada zako ni visu Aiseeeee.

Niliishigi na kufanya kazi hapo arusha. Wacha bwana.
 
Kusini yote ya moto, acha kufananisha watoto wa kusini na vitu vya ajabu..!! 😹😹

Kusini watu wamesusiwa misambwanda sio mpk uende uturuki..!!
We Winga. Kusini unamaanisha Lindi na Mtwara au Nyanda za juu kusini including Mbeya? 😂😂😂
 
Kusini anamaanisha Lindi na Mtwara au hapa Mbeya? Dada zako ni visu Aiseeeee.

Niliishigi na kufanya kazi hapo arusha. Wacha bwana.
Mimi sisemi hivyo kisa niwa kaskazini, naongelea uhalisia , mikoa mingi karibu robo tatu nimetembelea
 
Mimi sisemi hivyo kisa niwa kaskazini, naongelea uhalisia , mikoa mingi karibu robo tatu nimetembelea
Nimekaa Arusha. Hilo usemalo ni kweli. Hata mi nimetembea karibia nchi nzima ila Arusha kuna watoto balaa.

Wakati wa ujana kama sijafa na UKIMWI wakati naishi Arusha, sisi tena na UKIMWI maana nimepiga sana mademu wa Sanawari, TIA, Simoni, Tengeru, Ungalimited Daraja 2, matejoo n.k 😂😂😂
 
Nimekaa Arusha. Hilo usemalo ni kweli. Hata mi nimetembea karibia nchi nzima ila Arusha kuna watoto balaa.

Wakati wa ujana kama sijafa na UKIMWI wakati naishi Arusha, sisi tena na UKIMWI maana nimepiga sana mademu wa Sanawari, TIA, Simoni, Tengeru, Ungalimited Daraja 2, matejoo n.k 😂😂😂
Huku kusini ungeshakufa na ukimwi kitambo
 
Arusha ni mji umebeba warembo wa kirangi , kinyaturu kinyeramba, ki Iraq, kichaga , kisonjo ,kipare , kimangati , kimeru , ambapo inasemekana ndio makabila yenye wadada warembo pia
Nini kifanyike ili hao warembo wawe equally distributed mikoa yote. Sisi wa Ntwara tunakosa mambo mazuri.
 
Jina la Id Yako Huwa linanionyesha na kukumbuka kamanda nanga'aa

MWANAUME WA KAZIIII
Nimekaa Arusha. Hilo usemalo ni kweli. Hata mi nimetembea karibia nchi nzima ila Arusha kuna watoto balaa.

Wakati wa ujana kama sijafa na UKIMWI wakati naishi Arusha, sisi tena na UKIMWI maana nimepiga sana mademu wa Sanawari, TIA, Simoni, Tengeru, Ungalimited Daraja 2, matejoo n.k 😂😂😂
 
Sio wahamiaji , jiji la arusha lina karibu robo tatu ya wakazi wote wa mikoa ya kaskazini.

Kusini ni wazuri sana , ila unaweza tembea masaa matutu ndio uwaone 😅
Kusini wana vishundu mbinuko, vifupi na pua zao pana km sketi ya solo🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️. Nina sukari wandugu msiniue
 
Kusini wana vishundu mbinuko, vifupi na pua zao pana km sketi ya solo🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️. Nina sukari wandugu msiniue
We nyoko kusini ipi hiyo? 😹😹
Nyanda za juu kusini wafupi?
Hii uongo aiseee..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom