Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Aisee huu mji ni una warembo vibaya mno. Nipo hapa stendi ndogo jirani na Kimahama yaani shingo inataka kukatika sijui ni wa mkoa gani hawa mabinti wa Tanzania, warefu weupe/maji ya kunde ngozi nzuri,African figure aloo unaweza kuuza ukoo. Jamani wanadaslama huko nitarudi in two weeks, sirudi mapema huko kunaboa!
Chai
 
Wanakula bangi hao sio poa
Hawa mashemeji sawa ila sio hawa warembo naowaona mbona midomo haijavimba kwa ndumu. Kaka zao kweli nimekodi bodaboda hizi 180 za mchina yule mpuuzi na nywele zake kama FidoDido alikuwa aniue leo
 
Aisee huu mji ni una warembo vibaya mno. Nipo hapa stendi ndogo jirani na Kimahama yaani shingo inataka kukatika sijui ni wa mkoa gani hawa mabinti wa Tanzania, warefu weupe/maji ya kunde ngozi nzuri,African figure aloo unaweza kuuza ukoo. Jamani wanadaslama huko nitarudi in two weeks, sirudi mapema huko kunaboa!
Nilijua angalao uliona mbao,kumbe vyuma?Taifa lina uzwa hivyo hivyo shauri yako?
 
Aisee huu mji ni una warembo vibaya mno. Nipo hapa stendi ndogo jirani na Kimahama yaani shingo inataka kukatika sijui ni wa mkoa gani hawa mabinti wa Tanzania, warefu weupe/maji ya kunde ngozi nzuri,African figure aloo unaweza kuuza ukoo. Jamani wanadaslama huko nitarudi in two weeks, sirudi mapema huko kunaboa!
Ni mbraaaya bablai ndo maana tuliosoma Arusha hutuelezi kitu kuhusu kuhama huku, au kama tumehama basi kila mwaka lazima tufosi kurudi japo mara 1 kwa mwaka💪
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom