Na wa Kike awafanyeje?
FF unapenda sana kokwa eeh!"Wewe Jakaya mwana diplomasia kama mimi, lakini wakati mwingine inatakiwa uwaminye kokwa zao kidoogo, wakujuwe wee nani, umezidi upole".
Si uliulilia 'URAHISI' na ukatishia hata kuzira ? haya nipe habari baada ya miaka 6 nani alikuwa sahihi wewe au sisi ?
hapo umepatia kidogo.Dogo wewe mrefu kuliko mimi lakini akili zako ni fupi sana! Komaaa we kilaza!