Guess!!! Mhe. alikuwa anaambiwa nini . . . . ?!!

Guess!!! Mhe. alikuwa anaambiwa nini . . . . ?!!

We dogo kazi yako kuhudhuria maharusi, kusafiri nje ya nchi kila siku na unajisahau mno, unawaibia wananchi waziwazi bila kificho, enzi zangu mi niliwaibia kijanja ndo maana chama hakikutetereka. Acha ufala piga kazi baab, sio unachekacheka tu na kuwekeza mademu kila mkoa, wekeza pesa, **** we.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
Vipi mbona hamna kitu ww kilaza unarembua tu, piga kazi unajua wabongo hawanazo wanaweza nirudisha ikulu!
 
we can show the rest of the world kuwa hata black africa presidents can resign pale mambo yanapokataa. waoneshe hivyo!
 
Naona unapendapenda kubembea, maana kila mara kiguu na njia kwenye madege. Vipi dogo hukusoma chekechea?Kwani pale Lugoba baba yako alikuandikisha ubembee au uuze sura?

yani umenichekesha
 
yaani ten yrs itakuwa for nothing! kweli utakuwa a president that never was!!!!!!
 
Mbona umekuja kunitafuta wakati ni too late, siwezi kukusaidia kama wakati ule wa kufunga kampeni, kwa vile unaweza kutembea, basi simama mwenyewe ulimalize suala la umeme
 
Usifanye mchezo na hili suala la umeme; nchi nzima ikiwa totoro gizani, uchumi utadoda na hivyo ujue urais wako utaota mbawa!!
 
Punguza safari wewe, kila uchao angani unatafuta nini?!! kama ni maghorofa si kariakoo yamejaa telee kaa uangalie wananchi wana shida nyingi....lakini upande wa pili yanaingilia sikio la kushoto yanatokea lile la kulia!!
 
we bure kabisa hata bei ya daladala imekushinda kuilinda..
 
Dogo, aliyekuwa anakupa ulinzi usio onekana kesha ondoka, majamaa yakikomaa yanakubutua hata kabla ya kipindi chako kwisha!
 
Tatizo lako dogo, unasafiri kwenda nchi za nje mno halafu unaacha wananchi gizani...halafu kwanini umekubali yule mtu muhimu aliyewezesha ukawa raisi 2005 amejiuzulu? CCJ watakukwamwisha sasa, fanya haraka umteui RA katibu mkuu wizara ya nishati na madini tuendelee kupata ile 10% yetu..
 
Back
Top Bottom