First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,317
- 1,485
We dogo kazi yako kuhudhuria maharusi, kusafiri nje ya nchi kila siku na unajisahau mno, unawaibia wananchi waziwazi bila kificho, enzi zangu mi niliwaibia kijanja ndo maana chama hakikutetereka. Acha ufala piga kazi baab, sio unachekacheka tu na kuwekeza mademu kila mkoa, wekeza pesa, **** we.