Tatizo lako dogo, unasafiri kwenda nchi za nje mno halafu unaacha wananchi gizani...halafu kwanini umekubali yule mtu muhimu aliyewezesha ukawa raisi 2005 amejiuzulu? CCJ watakukwamwisha sasa, fanya haraka mteue RA katibu mkuu wizara ya nishati na madini tuendelee kupata ile 10% yetu..
We dogo kazi yako kuhudhuria maharusi, kusafiri nje ya nchi kila siku na unajisahau mno, unawaibia wananchi waziwazi bila kificho, enzi zangu mi niliwaibia kijanja ndo maana chama hakikutetereka. Acha ufala piga kazi baab, sio unachekacheka tu na kuwekeza mademu kila mkoa, wekeza pesa, **** we.
Namshanga Leonardo hiyo ni designer suit na siyo chini ya dola elfu.Halafu suit ya Mkapa haina ule mpasuko wa pembeni au nyuma ya suit(in fashion) ya JK ina mipasuko miwili ya pembeni-out of fashion a total NO,NO!Mbona iko fresh tu hiyo suti Mkuu??