Ile chenji ya Radar haijaletwa bado? ikiletwa usinisahau bwana si unajua mimi sasa ni mstaafu na mradi wangu kule kiwira mmeshanizulumu. Sina pesa si unajua hivi vibinti vinasumbu oh mara mzee sina hela leo mara nahitaji 2,000,000 eh! mara nataka kwenda shping na marafiki zangu nahitaji 5,000,000/- nk