MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
1. Ni kwanini mlianza Kudhamini kabla ya Kuingia Mkataba na TFF tarehe 23 Novemba, 2021?
2. Kama mliingia rasmi Mkataba na TFF tarehe 23 Novemba, 2021 ni kwanini mpaka hii Leo mnasitisha nao Mkataba hamjawalipa Pesa ya Awali na hata Vilabu vyote husika (ukiiondoa Simba SC yenye Akili na Watu Werevu Tanzania nzima) hamjawapa Pesa yoyote?
3. Mlikaa lini na Vilabu vyote husika juu ya Udhamini wenu na Barua zenu za Uthibitisho wa Wao kukubali ziko wapi?
4. Mkataba wenu Mama na TFF unasema mnadhamini Jezi (hasa Nembo yenu) au mnakuwa tu katika Mabango kwakuwa tayari Main Sponsor NBC Kisheria ndiyo anatakiwa kuwa hapo?
5. Kwanini mliwalazinisha TFF hasa kupitia Makamu wake wa Rais Athumani Nyamlani kuwa avitishe Vilabu vyote juu ya Kuuhoji huu Mkataba wenu ambao leo mmeusitisha rasmi?
6. Kama mmejitoa Kudhamini Ligi kama Co Sponsor kupitia TFF na Vilabu Gharama za Kuondoa Nembo yenu ya GSM katika Jezi za Vilabu husika ataingia/ atagbaramia nani?
7. Je, ni halali Kujitoa Kudhamini Ligi kama Co Sponsor na Vilabu 15 vilivyokubali kufanya Kazi nawe kwa Gharama ya Hasira zako kutokana na Klabu ya Geniuses watupu ya Simba SC Kuukataa Udhamini wako / wenu?
Nasubiri upesi sana Majibu yenu sawa?
2. Kama mliingia rasmi Mkataba na TFF tarehe 23 Novemba, 2021 ni kwanini mpaka hii Leo mnasitisha nao Mkataba hamjawalipa Pesa ya Awali na hata Vilabu vyote husika (ukiiondoa Simba SC yenye Akili na Watu Werevu Tanzania nzima) hamjawapa Pesa yoyote?
3. Mlikaa lini na Vilabu vyote husika juu ya Udhamini wenu na Barua zenu za Uthibitisho wa Wao kukubali ziko wapi?
4. Mkataba wenu Mama na TFF unasema mnadhamini Jezi (hasa Nembo yenu) au mnakuwa tu katika Mabango kwakuwa tayari Main Sponsor NBC Kisheria ndiyo anatakiwa kuwa hapo?
5. Kwanini mliwalazinisha TFF hasa kupitia Makamu wake wa Rais Athumani Nyamlani kuwa avitishe Vilabu vyote juu ya Kuuhoji huu Mkataba wenu ambao leo mmeusitisha rasmi?
6. Kama mmejitoa Kudhamini Ligi kama Co Sponsor kupitia TFF na Vilabu Gharama za Kuondoa Nembo yenu ya GSM katika Jezi za Vilabu husika ataingia/ atagbaramia nani?
7. Je, ni halali Kujitoa Kudhamini Ligi kama Co Sponsor na Vilabu 15 vilivyokubali kufanya Kazi nawe kwa Gharama ya Hasira zako kutokana na Klabu ya Geniuses watupu ya Simba SC Kuukataa Udhamini wako / wenu?
Nasubiri upesi sana Majibu yenu sawa?