GSM: Kwa makusudi Nembo yetu tumenyimwa haki ya kuonekana kwenye Jezi za Simba SC

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
Tuliposema hapo awali ya kwamba udhamini wao haukuja kusaidia klabu zote kuendeleza mpira Tanzania ila walilenga kuweka logo yao kwenye Brand ya Simba SC baadhi walipinga vilivyo.

Ukisoma sababu ya kujiondoa udhamini wa Ligi Kuu Tanzania kwenye barua yao kwenda TFF zipo sababu 8, lakini Simba SC wameitaja mara 4, wakiamini kuwa Simba ndo amevuruga lengo.

Moja ya paragraph ambayo wameitaja Simba SC katika zile sehemu 4 wamesema, Nanukuu "GSM kwa makusudi tumenyimwa haki ya kuonekana kwenye bega la kushoto la jezi ya Simba SC". mwisho wa kunukuu.

Logo ya GSM kuwa kwenye jezi ya Simba SC sio shida, lakini inakaa kwa misingi ipi? Yakisheria ya mkataba, ilhali TFF walisema mkataba ni wa kificho (Siri) baina ya TFF na GSM na hapo ndo mashaka yalianzia.

Kwahivyo nia ilikuwa Simba SC amtangaze kwa bei rahisi Kitaifa na Kimataifa hivyo akajipenyeza kwenye udhamini wa Ligi Kuu, lakini lengo ameilenga Simba SC ndo maana unajiuliza mbona kuna timu zipatazo 15 kwenye Ligi Kuu na zimekubali kudhaminiwa, iweje kukataa timu moja ndo ujiondoe kudhamini vilabu 15 vilivyosalia..?!

Neno letu la mwisho TFF pamoja na TPLB wasimamie kulipwa vilabu vyote 15 vilivyo kubali udhamini, kwani kuna vilabu vimevaa jezi zenye matangazo na baadhi ya michezo inarudiwa kwenye Tv na kuacha kumbukumbu isiyofutika.

Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
...Ghazwat....
 
Tuliposema hapo awali ya kwamba udhamini wao haukuja kusaidia vilabu vyote kuendeleza mpira Tanzania ila walilenga kuweka logo yao kwenye Brand ya Simba SC baadhi walipinga vilivyo

Ukisoma sababu ya kujiondoa udhamini wa Ligi Kuu Tanzania kwenye barua yao kwenda TFF zipo sababu 8, lakini Simba SC wameitaja mara 4, wakiamini kuwa Simba ndo amevuruga lengo.

Moja ya paragraph ambayo wameitaja Simba SC wamesema kuwa "'Gsm kwa makusudi tumenyimwa haki ya kuonekana kwenye bega la kushoto la jezi ya Simba SC".

Logo ya Jiesiemu kuwa kwenye jezi ya Simba SC sio shida, lakini inakaa kwa misingi ipi ya kisheria ya mkataba ilhali TFF walisema mkataba ni wa kificho (Siri) baina ya TFF na GSM na hapo ndo mashaka yalianzia.

Kwahivyo nia ilikuwa Simba SC amtangaze kwa bei rahisi Kitaifa na Kimataifa hivyo akajipenyeza kwenye udhamini wa Ligi Kuu, lakini lengo ameilenga Simba SC ndo maana unajiuliza mbona kuna timu zipatazo 15 kwenye Ligi Kuu na zimekubali kudhaminiwa, iweje kukataa timu moja ndo ujiondoe kudhamini vilabu 15 vilivyosalia..?!

Neno letu la mwisho TFF pamoja na TPLB wasimamie kulipwa vilabu vyote 15 vilivyo kubali udhamini, kwani kuna vilabu vimevaa jezi zenye matangazo na baadhi ya michezo inarudiwa kwenye Tv na kuacha kumbukumbu isiyofutika.

Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
...Ghazwat....
GSM na Yanga SC wamesahau kuwa Simba SC inaongozwa na CEO Mwerevu Barbara Gonzalez halafu kama haitoshi GSM na Yanga SC hawakusoma vyema Ripoti ya Utafiti iliyosema kuwa Simba SC ndiyo Klabu pekee Tanzania nzima inayoongoza kuwa na Mashabiki Wasomi, Makini na Vipanga hasa.
 
GSM na Yanga SC wamesahau kuwa Simba SC inaongozwa na CEO Mwerevu Barbara Gonzalez halafu kama haitoshi GSM na Yanga SC hawakusoma vyema Ripoti ya Utafiti iliyosema kuwa Simba SC ndiyo Klabu pekee Tanzania nzima inayoongoza kuwa na Mashabiki Wasomi, Makini na Vipanga hasa.
Ni kweli kabisa.. Simba SC inafanya mambo Kitaalamu ndo maana ni rahisi kupata matokeo yenye tija kwenye mambo yao.

Jiesiemu na Klabu yao washauri wao akina Haji Manara ambao wanategemea zaidi propaganda tu.
 
Tuliposema hapo awali ya kwamba udhamini wao haukuja kusaidia vilabu vyote kuendeleza mpira Tanzania ila walilenga kuweka logo yao kwenye Brand ya Simba SC baadhi walipinga vilivyo

Ukisoma sababu ya kujiondoa udhamini wa Ligi Kuu Tanzania kwenye barua yao kwenda TFF zipo sababu 8, lakini Simba SC wameitaja mara 4, wakiamini kuwa Simba ndo amevuruga lengo.

Moja ya paragraph ambayo wameitaja Simba SC wamesema kuwa "'Gsm kwa makusudi tumenyimwa haki ya kuonekana kwenye bega la kushoto la jezi ya Simba SC".

Logo ya Jiesiemu kuwa kwenye jezi ya Simba SC sio shida, lakini inakaa kwa misingi ipi ya kisheria ya mkataba ilhali TFF walisema mkataba ni wa kificho (Siri) baina ya TFF na GSM na hapo ndo mashaka yalianzia.

Kwahivyo nia ilikuwa Simba SC amtangaze kwa bei rahisi Kitaifa na Kimataifa hivyo akajipenyeza kwenye udhamini wa Ligi Kuu, lakini lengo ameilenga Simba SC ndo maana unajiuliza mbona kuna timu zipatazo 15 kwenye Ligi Kuu na zimekubali kudhaminiwa, iweje kukataa timu moja ndo ujiondoe kudhamini vilabu 15 vilivyosalia..?!

Neno letu la mwisho TFF pamoja na TPLB wasimamie kulipwa vilabu vyote 15 vilivyo kubali udhamini, kwani kuna vilabu vimevaa jezi zenye matangazo na baadhi ya michezo inarudiwa kwenye Tv na kuacha kumbukumbu isiyofutika.

Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
...Ghazwat....
Kwani Contract yao walisema timu 15 au timu zote zinazoshiriki ligi kuu?
 
Kwani Contract yao walisema timu 15 au timu zote zinazoshiriki ligi kuu?
Udhamini ni Team zote ila hapa nimeeleza kuwa iwapo kuna timu moja ndo imekataa sijaona mantiki yoyote ya wao kujiondoa udhamini kwani zipo timu 15..!

Ni kama vile Yanga kukataa logo Nyekundu ya NBC ambapo timu zilizosalia 15 wanavaa na NBC hajasusa na Ligi Kuu inaendelea bila shida.

Bila shaka umeelewa hapo..!
 
Barbara-Gonzalez.jpg
 
Master degree Barbva..Kasambaratisha wale watu waliosimama kwenye ile picha siku ya kusaini mkataba kati ya GSM na TFF

Manara akimuona huwa analia sana.
Timu yenu imeingiliwa na makanjibai mnajiona mna akili, ndiyo maana ilikua rahisi sana kumtawala muafriaka kiukoloni, maana wenyewe kwa wenyewe hampendani
 
Timu yenu imeingiliwa na makanjibai mnajiona mna akili, ndiyo maana ilikua rahisi sana kumtawala muafriaka kiukoloni, maana wenyewe kwa wenyewe hampendani
ubaguzi sio kitu kizuri je huyu mu asia wenu kawafikisha wapi hadi sasa zaidi ya mikataba ya kimangungo
 
ubaguzi sio kitu kizuri je huyu mu asia wenu kawafikisha wapi hadi sasa zaidi ya mikataba ya kimangungo

Sio swala la ubaguzi swala bado mpo kwenye ukoloni kwa kuwa mmejiaminisha hamna akili kama za wa kanjibai.. Mtapigwa tu
 
Timu yenu imeingiliwa na makanjibai mnajiona mna akili, ndiyo maana ilikua rahisi sana kumtawala muafriaka kiukoloni, maana wenyewe kwa wenyewe hampendani
Usione kuwa kuna ubaguzi hapo, mbona wamepita akina Manji na Azim, mbona hamkusema timu zimeingiliwa?

Huo unauleta ni ubaguzi aisee..Tenda haki kama wengine uone kama utasemwa.
 
Back
Top Bottom