TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 666
Ni kwa wote mlio amka salama, tumshukuru mungu
gulumon Mtalingolo. Thanks.
Ni kwa wote mlio amka salama, tumshukuru mungu
Na mimi nije honey?mpaka samaki n'changa wapo,wewe unataka nini?
mkuu ujamstukizia kama anarusha watu roho?
Na mimi nije honey?
Na ugali wa muhogo, wa motoooo. yummy!wewe nakutengenezea dagaa wa pilipili,
ni kweli lakini mbona na wewe hupigi?
Mi kwng hayo mazoezi ni ya kawa daily!
Pamoja!
Na ugali wa muhogo, wa motoooo. yummy!
Mi kwng hayo mazoezi ni ya kawa daily!
Pamoja!
na kweli,na huo mwili si mchezo.
Teh wako wako tu....poa mkuuNdio mimi mkuu, ila mie mfugaji tu baba na mama yake wapo pia..
Skamoo Uncle, sasa leo nimechanganyikiwa... chai au bia?
Dah kweli ulikuwa umechoka...pole...Darling, na shughuli yote ya usiku umeweza kuingia humu?
Halafu acha tabia yako ya kusumbua wake za watu usubuhi usubuhi!
Inaendelea bado...kila siku inazidi kunoga! Sijui itaisha lini aisee!!Dah kweli ulikuwa umechoka...pole...
Kwani honeymoon inaendelea na leo???
mpaka samaki n'changa wapo,wewe unataka nini?
We acha tu mkuu usiku una mambo ya ajabu sana
karibu lunch kaizer,matembele kwa ugali wa ngano
safi bro,si unajua tena shem wako masaa 2 mpaka 5 ndo amalize?
Very much Uncle... Na nilichopenda zaidi ni ability yako ya kukumbuka kua napenda fruits kuliko chocolates...Thank you Mwali....kwa heshima yako, nairudisha Avatar hii kukuenzi.
hapo nitaanza na chai (kind of addicted), then baadaye jioni I will have a glass. Did you like the apple nilikuletea jana?
Inaendelea bado...kila siku inazidi kunoga! Sijui itaisha lini aisee!!
Chamaki nchanga simuwezi......namuweza pweza tu....yupo?
Ngano kazi yake chapati, andazi......asante lakini:A S-coffee: