Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
- Thread starter
- #61
hehe basi vizurii,mimi nishafyatua matofali 50 mpaka sasa na yote yashakauka.
Hahahaaa Kabakabana bwana...
hehe basi vizurii,mimi nishafyatua matofali 50 mpaka sasa na yote yashakauka.
wa kwangu keshanitoroka siku ya tatu leo.Sasa hivi niko na mwl.wangu mchina tunapiga kung-fung baadae kidogo.
Thanx dia.. kama kawaida..
Ndio maana yake,na kwa kazi ya jana mmm!kwahyo umetega nyavu unasubiri zidake??
Ww siri naijua mie mwenyewe,Sasa we mbona umeamka mapema??? una maana Rejao mchovu au wewe hukujishighulisha????
Hahahah hahha,Mwenyewe naona, mie ndo katibu chama cha mabachela...
Morning mtalingolo
mimi mgongo unaniuma kwa mbaali ndo nafanya jogging hapa.
Mambo ya purukushani za usiku hayo. Habari ya asubuhi
Heshima yako big shem,Hapa kuna nini? Salamu, kungfu, ndoa kujibu au matofali?:shock:
Hahahahahaaaa kweli hata mi nshaona huu ni uteja..dah hadi watu wanawasahau wapenzi wao na Hone muni....tehWw siri naijua mie mwenyewe,
Mie nimeamshwa na uteja wa jf si unajua tena!
Hahahah hahaha,Hahahahahaaaa kweli hata mi nshaona huu ni uteja..dah hadi watu wanawasahau wapenzi wao na Hone muni....teh
Mwisho wa asubuhi ni saa sita mchana na haijafika,Hivi saa ngapi vile na mwisho wa asubuhi ni saa ngapi vipi
Kama bado muda upo good morning
Mwisho wa asubuhi ni saa sita mchana na haijafika,
Goodmorning mkuu!
Heshima yako big shem,
Hapa ni ww tu na asubuhi yako ilikuwaje basiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Km ulilazwa mzungu wa nne unafunguka tu hahahahha!
BTW,BIG SISY hajambo?
Pole Nitonye....tatizo nini????Habari za asubuhi jamani mwenzenu nimeamka na mimi kidogo viungo vinaleta mgogoro kidogo
Hahahaha hahahahha,Hajambo kabisa....nililala vizuri tu, ila nimeshangaa sasa hapa kuna kila aina ya mvurugano.....naona upo hane muni, hiyo pua ya Rejao fanya kuipunguza....halafu mpunguze kwenda kwenye Noah...sio nzuri kwa afya lol
Viko poa kbs,Vishanyooshwa vizuri kbs na rejao wangu hapa!!Afadhali umenipa taarifa
Good morning sana aise na wewe
Vipi viungo vyako vimeamka vyema