Godless Lema amuomba Rais Mpya Samia Suluhu kuchunguza ofisi ya DPP na BoT

Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Ind7ividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!

Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji

Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
ATCL inakula loss ya 60B kila mwaka. Vipi una maoni gani MATAGA?
 
Yupo Ignore list zaidi ya miaka 3 sasa ila maskini wala hajastukia bado.

Huwa kila mara ananinukuu kutaka attention yangu.

She is totally and thoroughly and permanently ignored.

I don’t lose sleep over her.

Usingeni tag wala nisingeona.

Hahahahaha ignore list unaweza nisome uki expand Ile

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ID yangu ni hii hii toka 2008. Hakuna mabadiliko. Tunapiga spana meko kwa maovu aliyotutendea
Zile zingine umeziacha mkuu?

Huna uwezo wa kumpiga spana Meko wewe sisi tunaendelea na hapa kazi tu na Mama Samia.

Wapinzani wameshapotezana sasa wanashangilia mambo ya CCM hadi wanafikiri Mama Samia ni mwanachama wa Saccos ya Chadema.

Mara paa 2025 uchaguzi huooo Chama Dume tena linachukua nchi wapinzani wanaendelea kusema wameibiwa kura...!! Hahahaha... aliyewapa jina la nyumb... alifikiri sana. Hivi kwa nini aliwachagulia jina hilo mkuu?
 
Nitakua na imani walau na huyu Mama endapo

Ataitisha mchakato wa kupata katiba mpya..na ikapatikana

Kuwepo kwa tume huru ya uchaguzi..

Akiweza hivyo atakua amekua mwanaccm wa tofauti sababu naamimi siku zote CCM ni ile ile mbwembwe kibao ila hakuna jipya!

Ila itapendeza sana mama akiwanyoosha wale wapambe wa jiwe sijui matokeo chanya,Tanzania mpya,MATAGA , na matarumbeta mengineyo hatuwezi kua na mambo ya kusifia hata ujinga hii haikubaliki !
Hivi mkuu unafikiri kama ikiwepo Katiba Mpya na Tume Huru ndiyo upinzani utashinda uchaguzi? Kwa taarifa yako CCM ni Chama Dume kama kile Chama cha China. Katiba inaweza kutengenezwa na Tume Huru kama mnavyotaka na bado mkashindwa.

Upinzani wa nchi hii bado sana wengi wao ni wachumia tumbo tu umewaona hao wanawake wenu Covid 19 siku zote mlikuwa mnawaita wapambanaji sasa wako wapi?
 
Humu comment zote zinaonyesha kumuunga mkono mama Samia.
Nachoona ni kama mnamgombania Rais.
Nyinyi wote ni wa Rais Samia,Rais ambae mpaka sasa kafanikiwa kuwalainisha wagumu wasiolainika kirahisi kumuunga mkono.

Sasa nasema hivi twendeni na muheshimiwa Rais Samia,tusimgombanie kila kundi lijione ndo linahakinae zaidi.
 
Hivi mkuu unafikiri kama ikiwepo Katiba Mpya na Tume Huru ndiyo upinzani utashinda uchaguzi? Kwa taarifa yako CCM ni Chama Dume kama kile Chama cha China. Katiba inaweza kutengenezwa na Tume Huru kama mnavyotaka na bado mkashindwa.

Upinzani wa nchi hii bado sana wengi wao ni wachumia tumbo tu umewaona hao wanawake wenu Covid 19 siku zote mlikuwa mnawaita wapambanaji sasa wako wapi?
Aliyekuambia uwepo wa katiba mpya ni lengo la upinzani kushika hatamu ni nani?

Lengo la katiba mpya uwepo wa mihimili huru wananchi ndio wamuweke mtu wanayemtaka wao madarakani kihahali ...

Pili mtu huyo wakati wowote akienda kinyume wanayo ruksa ya kumuhoji naye atakua na haki ya kujitetea na abainikapo amekosea wamuondoe bila kupepesa macho...

Sio habari za mtu mmoja kujiamulia tu atakavyo kuwavuta watu kama pepo za Kusi na Kaskazi yani maamuzi yanategemea na siku hiyo ameamka vipi au kushauriana na kakikundi ka watu wachache chamber

Sasa nakuachia swali lini mara ya mwisho umeshuhudia kiongozi amewajibishwa na wenye nchi ambao ndio wananchi na kutolewa madarakani ukianza kukusanya matukio ya utumiaji mbovu wa madaraka hadi ubadhirifu wa mali ya umma .??
 
Back
Top Bottom