Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,351
- 4,197
Ulisoma bandiko la TLS? Katiba inamtaka raisi mpya afanye nini ashikapo madaraka?
Kama walishindwa kuheshimu katiba wakiongozwa na adui wa ufisadi wataweza vipi kwa huyu mama?
Yes I did read it!
Nimetoa mchango wangu pia!
Ni aibu kwa Organ kama TLS kutembea ndani ya loopholes!