Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
😂😂😂Zile zingine umeziacha mkuu?
Huna uwezo wa kumpiga spana Meko wewe sisi tunaendelea na hapa kazi tu na Mama Samia.
Wapinzani wameshapotezana sasa wanashangilia mambo ya CCM hadi wanafikiri Mama Samia ni mwanachama wa Saccos ya Chadema.
Mara paa 2025 uchaguzi huooo Chama Dume tena linachukua nchi wapinzani wanaendelea kusema wameibiwa kura...!! Hahahaha... aliyewapa jina la nyumb... alifikiri sasa. Hivi kwa nini aliwachagulia jina hilo mkuu?
Wanaunga mkono juhudi za Mama