Pole kwa povu...litawatoka sana hadi mkaukiwe.Magufuli alikuwa zao la mfumo ambao baada ya upinzani kutukana sna Kikwete mfumo ukaona nyie siio wa kuwachekea
Kikwete aliwachekea hadi akawahonga chai ikulu muache wala hamkuacha
Msidhani Mama Samia atarudia kosa la Kikwete aliyewachekea hadi mkaitisha migomo ya madaktari kupitia akina Ulimboka na Mashinji wengi wakapoteza maisha ikiwemo shangazi yangu kwa kukosa huduma
Raisi Mama Samia atajijua akiwachekea nyie shukrani hamna nyie
Mdundo ni uleule CCM no 1Mtanyooka tu bado tunaendelea kuwanyoosha kama kawaida. Hakuna kurudi nyuma uuzaji madawa na ufisadi wenu haukubaliki tena Mama Samia anaendeleza mapambano kama kawaida. Sasa naona mnacheza mdundiko bila kujijua.
Tuwape mudaHuyu ndo rais wanayemtaka wapinzani ama tusubiri??
Kazi iendeleeTumerahisishiwa kazi....!!
Wizi kama nyinyi lazima uongoze kibansa mkuu lasivyo utakuta kila kitu kimeibiwa.Tisifiche HAYATI ALITAWALA NCHI KIHUNI NA KIBAUNSA BAUNSA.Au nasema uongo ndugu zangu
Uzuri tunakujua wewe ni beberu uliye CCMNamuonea huruma sana huyu mama!
Idadi ya washauri na maombi si ya kitoto.
Mtakuwa suprisedMagufuli alikuwa zao la mfumo ambao baada ya upinzani kutukana sna Kikwete mfumo ukaona nyie siio wa kuwachekea
Kikwete aliwachekea hadi akawahonga chai ikulu muache wala hamkuacha
Msidhani Mama Samia atarudia kosa la Kikwete aliyewachekea hadi mkaitisha migomo ya madaktari kupitia akina Ulimboka na Mashinji wengi wakapoteza maisha ikiwemo shangazi yangu kwa kukosa huduma
Raisi Mama Samia atajijua akiwachekea nyie shukrani hamna nyie
Inaonesha ni jinsi gani jiwe alivyoharibu nchiNamuonea huruma sana huyu mama!
Idadi ya washauri na maombi si ya kitoto.
Yani kweli mtu na akili zake timamu anaweza kumfanya lema awe mshauri wake?!Namuonea huruma sana huyu mama!
Idadi ya washauri na maombi si ya kitoto.
Mimi nadhani tusubiri. Upanzani wao shida yao kubwa ni kuattack viongozi, hasa Magufuli walimuataki sana badala yake wakajikuta Magu anakubalika na wananchi kwa kazi zake safi, na hapo ndipo walipoishiwa nguvu. Wao badala ya kuwa na sera nzur zitakazo wadefine wao kama upinzani wao wakijikita mda mwingi kumuattack JPM. Sasa leo JPM hayupo hawajui waanzie wapi, wameanza kumuomba Mama Samia atekeleze mahitaji yao, hasipofanya hivyo na yeye hawatakawia kumuaatack.Huyu ndo rais wanayemtaka wapinzani ama tusubiri??
Huyu ndo rais wanayemtaka wapinzani ama tusubiri??
Dah..
Hapa najihisi kama wana JF tumezaliwa upyaaa
😆😆😆Dah..
Hapa najihisi kama wana JF tumezaliwa upyaaa
Kwa akili yako unafikri hao wapambe wa jiwe hata wakinyooshwa mtakuwa mnakula ugali dagaa kila siku sawa na wewe?Nitakua na imani walau na huyu Mama endapo
Ataitisha mchakato wa kupata katiba mpya..na ikapatikana
Kuwepo kwa tume huru ya uchaguzi..
Akiweza hivyo atakua amekua mwanaccm wa tofauti sababu naamimi siku zote CCM ni ile ile mbwembwe kibao ila hakuna jipya!
Ila itapendeza sana mama akiwanyoosha wale wapambe wa jiwe sijui matokeo chanya,Tanzania mpya,MATAGA , na matarumbeta mengineyo hatuwezi kua na mambo ya kusifia hata ujinga hii haikubaliki !
usimpangie mama.mamahapangiwiMagufuli alikuwa zao la mfumo ambao baada ya upinzani kutukana sna Kikwete mfumo ukaona nyie siio wa kuwachekea
Kikwete aliwachekea hadi akawahonga chai ikulu muache wala hamkuacha
Msidhani Mama Samia atarudia kosa la Kikwete aliyewachekea hadi mkaitisha migomo ya madaktari kupitia akina Ulimboka na Mashinji wengi wakapoteza maisha ikiwemo shangazi yangu kwa kukosa huduma
Raisi Mama Samia atajijua akiwachekea nyie shukrani hamna nyie
Ni suala ya muda tu mkuu, ila sitashangaa wakianza kumsema vibaya maana hawa wapinzani wetu wala hawajui wanataka nini.Huyu ndo rais wanayemtaka wapinzani ama tusubiri??
Kwa sababu wewe ni mpambe unafikiri kila mtu alikua anapigania ugali kwa kusifia hata upumbavu eeh! Kwanza wafiwa tulieni msitusumbue subirini kipindi cha mpito na mtifuano mkigombea urithi mlioachiwaKwa akili yako unafikri hao wapambe wa jiwe hata wakinyooshwa mtakuwa mnakula ugali dagaa kila siku sawa na wewe?
Pole sana mkuu, hii ndio ccm hubadirika kama kinyonga! Sasa hivi mnaisifu ccm bila nyie kujua!Kwa sababu wewe ni mpambe unafikiri kila mtu alikua anapigania ugali kwa kusifia hata upumbavu eeh! Kwanza wafiwa tulieni msitusumbue subirini kipindi cha mpito na mtifuano mkigombea urithi mlioachiwa